Mr dark light
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 298
- 253
Fuatilia mkuu ukiwa busy kabisa nitumie hata mimi tusaidiane kulegeza vyuma [emoji3] [emoji3] [emoji3] maana hii biashara wapo wengi ambao haijawakata maana waliendesha wenyeweAhsante kwa maoni ya
Ahsante kwa maoni yako ndugu, ntafatilia fursa hiyo niione ikoje.
wewe ushi,usijishaue hapa umemjuaje?haroo usijeukamtapeliHuyu jamaa nimesha mjua mkuu, ngoja nikamshawishi nje ya Jf.....
Nafanya hiyo kazi, naelewa A to Z kuhusu uchenjuajiAiseeeee.......
Mkuu, hivi unaweza ukakokotoa hata kidogo hiyo aina ya biashara unayo mshauri jamaa aifanye?
Ebu wakati mwingine msipende kuchukulia mambo ya uchenjuaji kiurahisi namnahiyo
Mkuu, nakuna unacho kijua kuhusu uchenjuaji.Nafanya hiyo kazi, naelewa A to Z kuhusu uchenjuaji
Nimekosa tu mtaji wa kuweza kusimama mimi kama mimi.
Akitaka maelezo au plani nzima ilivyo atakuja pm siwez kuandika kila kitu hapa
Hiyo kitu iko vizur Sana. Nilikuwa maeneo ya geita niliona watu wanavyofanya kazi hio. Sema tu kila mmoja anaangalia fursa kutokana na uzoefu wake au professional yakeNafanya hiyo kazi, naelewa A to Z kuhusu uchenjuaji
Nimekosa tu mtaji wa kuweza kusimama mimi kama mimi.
Akitaka maelezo au plani nzima ilivyo atakuja pm siwez kuandika kila kitu hapa
Mkuu naomba uelezee kidogo hii idea ya mafuta kwa faida ya wengi tafadhali. Mchanganuo mzima kama hutojali.Nenda Singida au manyara (babati) anza biashara ya kununua Alzet kisha unakamua na kuuza mafuta pamoja na mashudu. Huwezi kujutia Biashara hiyo! Kama ukihitaji ushauri mwingine wasiliana nami nikushauri mkuu.
Sina maelezo mengi, lakini kama ukiweza nichek pm ili nikupe mchanganuo kidogo uoneMkuu naomba uelezee kidogo hii idea ya mafuta kwa faida ya wengi tafadhali. Mchanganuo mzima kama hutojali.
Asipofuata huu ushauri nitamwona bw**ge. Na hastaili kumiliki izo pesaNenda Singida au manyara (babati) anza biashara ya kununua Alzet kisha unakamua na kuuza mafuta pamoja na mashudu. Huwezi kujutia Biashara hiyo! Kama ukihitaji ushauri mwingine wasiliana nami nikushauri mkuu.
Hahahaha I feel your thought broo!Nimeshajua unachotaka kuhakikisha... tehteehhh
Okee dalingi.....[emoji12] [emoji12]Hahahaha I feel your thought broo!
Hehehe, ulichokimaanisha ndo iko nilimaanisha brooOkee dalingi.....[emoji12] [emoji12]
Ingawa sijaelewa, nimeogopa kusema NO.... maana ungeniuliza WHY, na hapo ndipo ningekwama kabisa....[emoji13] [emoji13]