Je, ni bidhaa gani kutoka bara la Ulaya (Europe) zinafaa kwa biashara Tanzania. Kuna kampuni inasafirisha mizigo moja kwa moja East africa, ningependa kufanya partnership pamoja nao.
Nadhan Jack alikua anatengeneza hapa hapa ila material yanatoka nje! Mie naona ready made ndo habari ya mjini boss..ukileta taste nzuri utauza tu mrad bei iwe rafiki!
Jack nyanya nyanya sana lol