Mm ni mwanafunz wa ninaeingia second year katika chuo kimoja apa mwanza..Nina kama milion 1.5 natak nijfunze biashara stil nkiwa bado npo chuo..nlikuwa naomba ushauri wenu wadau nini nifanye na ni biashara gan itanfaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.