Ushauri wa biashara

Ushauri wa biashara

meezy

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
685
Reaction score
1,207
Mm ni mwanafunz wa ninaeingia second year katika chuo kimoja apa mwanza..Nina kama milion 1.5 natak nijfunze biashara stil nkiwa bado npo chuo..nlikuwa naomba ushauri wenu wadau nini nifanye na ni biashara gan itanfaa
 
  • Thanks
Reactions: BIR
Mm yoyte itakayoendana na mtaji wang ila 2 iwe inalipa.. Ndo naulzia wadau ipi itanfaa
 
Huezi tu kufanya biashara yyt ili mradi inaendana na mtaji, lazima kuna kitu ambacho unakifikiria ndo ukiseme tukushauri vizuri
 
angalia kilichokosekana hapo ulipo na kinahitajika sana
 
Back
Top Bottom