M meezy JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 685 Reaction score 1,207 Jun 3, 2014 #1 Mm ni mwanafunz wa ninaeingia second year katika chuo kimoja apa mwanza..Nina kama milion 1.5 natak nijfunze biashara stil nkiwa bado npo chuo..nlikuwa naomba ushauri wenu wadau nini nifanye na ni biashara gan itanfaa
Mm ni mwanafunz wa ninaeingia second year katika chuo kimoja apa mwanza..Nina kama milion 1.5 natak nijfunze biashara stil nkiwa bado npo chuo..nlikuwa naomba ushauri wenu wadau nini nifanye na ni biashara gan itanfaa
Sales93 Senior Member Joined Mar 5, 2014 Posts 146 Reaction score 73 Jun 3, 2014 #2 Inategemea na ww unavutiwa na biashara gani
M meezy JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 685 Reaction score 1,207 Jun 3, 2014 Thread starter #3 Mm yoyte itakayoendana na mtaji wang ila 2 iwe inalipa.. Ndo naulzia wadau ipi itanfaa
Sales93 Senior Member Joined Mar 5, 2014 Posts 146 Reaction score 73 Jun 3, 2014 #4 Huezi tu kufanya biashara yyt ili mradi inaendana na mtaji, lazima kuna kitu ambacho unakifikiria ndo ukiseme tukushauri vizuri
Huezi tu kufanya biashara yyt ili mradi inaendana na mtaji, lazima kuna kitu ambacho unakifikiria ndo ukiseme tukushauri vizuri
Majigo JF-Expert Member Joined Feb 23, 2012 Posts 5,519 Reaction score 1,828 Jun 5, 2014 #5 angalia kilichokosekana hapo ulipo na kinahitajika sana