Mkuu RVR ni Honda?Msaada wa kwanza anza kutafuta mteja wa hio gari, siku nyingine usinunue gari inayoitwa Honda. Hao fani yao ni pikipiki tu na majenereta kwenye magari hamna kitu ni majanga tu kuanzia RVR, CR-V n.k
Kingine fanya diagnosis ya system ya mafuta
Ni Mitsubishi ile mkuu, ulimi hauna mfupaπππππMkuu RVR ni Honda?
samahani kaka nilikua naulizia hivi gari kama lamborghin uvungu wake unaendana kweli na barabara za hapa tzumiliki wa gari ukiwa haujui chochote juu ya gari yako ni tatizo kubwa sana,wengi hawana elimu yoyote juu ya magari ni mwendo wa kuweka gear na kuondoka.
ningependa kutoa nafasi hii kwa yoyote mwenye swali kuhusiana na magari alitoe hapa ili liweze kujibiwa hapa hapa kwa maana wapo wenye ufahamu zaid kwenye technology ya magari utawaza kupata ABC za magari hii itakusaidia ata unapopata tatizo la gari yako huwez kupata taharuki
Karibuni tupeane Elimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lililokuwepo linaendeshwaje kwani?samahani kaka nilikua naulizia hivi gari kama lamborghin uvungu wake unaendana kweli na barabara za hapa tz
tanks ila siku najua kama kuna mtu ana lamborghin nani huyo?Lililokuwepo linaendeshwaje kwani?
Kuna jamaa anaitwa Davis Mosha...ambayo aliuziwa na Yusuf Bakhresa kama sikoseitanks ila siku najua kama kuna mtu ana lamborghin nani huyo?
okay mkuu poa sanaKuna jamaa anaitwa Davis Mosha...ambayo aliuziwa na Yusuf Bakhresa kama sikosei
Si wapati mafundi wengi mm ila kwa miaka ya nyuma nilikua naenda automech ipo tabata kwa sasa cjawai pata nafasi ya kupekeka gari gerage ile pale automech nasikia wamefikisika kwa ss ila mafundi bado wapo wachacheNgoja nijikusanye niwaone. Pengine kwa ushauri, kwa Dsm wapi naweza pata huduma sahihi kwa bei yetu wanyonge mkuu.
Dash board inaonesha neno ABS msaada