Ushauri wa bure kwa Diamond

Safari ni hatua
Ndio anashauriwa awafikie sasa, we unapinga nini
Level ya Diamond hao ndio wenzake wanamzidi kipato tu na ndio anashauriwa afanyaje awafikie

Alishauriwa atafute kolabo akafanikiwa kuiteka africa sasa kilichobaki ni kumake money tu

And he will surely do so...

Njia ishafunguka... Next level now
 
Hivi umeelewa nilichokuambia lakini?
Kama ungeelewa usingeniuliza hili swali.

sija uliza swali hapo.....anacho takiwa kujua ni kua hapa anashauriwa diamond na sio kutaka kumpambanisha na wakina davido mara sijui nini....atafute uzi maalum wa kubishania sio humu!

by the way nimekuelewa sana.
 
sija uliza swali hapo.....anacho takiwa kujua ni kua hapa anashauriwa diamond na sio kutaka kumpambanisha na wakina davido mara sijui nini....atafute uzi maalum wa kubishania sio humu!

by the way nimekuelewa sana.

Hii ni sehemu free ya kujielezea. Hakuna limits za hapa mtu aseme chochote au asiseme.

Haya basi kwaheri.
 
nnaweza nikawa na roho mbaya ila ya kwako imezidi

Hahahahahaa, hebu nieleze roho yangu mbaya ikoje? Nimewahi kukuzibia rizki au kukuulia ndugu yako?
Sijipendekezi kwa mtu humu, najieleza ninavyotaka mimi bila kuogopa watu kama wewe watanichukulia vipi.
Useme nina roho mbaya au nzuri sijali, na wala sijakuomba kunipa sifa maana sikufuata sifa humu.
 
Kubali KUTOFAUTIANA.Sio mwenzio anapinga nawe unamvamia, simamia katika kile unachokiamini.
Hakuna aliyekulazimisha kukubaliana nae.

Kumbe ukitoa mawazo tofauti unaaguliwa uchawi?
 
safari ni neno pana sana,ukiachilia mbali movement from one

place to another pia inatumika km neno linalo wakilisha wakati

"safari hii lazma barca wachukue kombe la uefa".
 
Inategemea unatofautiana vipi, sio unapinga tu kwakuwa humpendi mtu

Kumbe ukimpinga mtu maana yake humpendi?
Utaanzaje kumchukia mtu asiekufahamu?
 
Hahahahaa! Safari maana yake nini?
Nimecheka sana hata hivyo.

safari ni neno pana sana,ukiachilia mbali movement from
one

place to another pia inatumika km neno linalo wakilisha
wakati

"safari hii lazma barca wachukue kombe la uefa".
 
Waarabu wa pemba hujuana kwa vilemba vyao, wewe pia utakua una roho mbaya ndio maana umeweza kuliona hilo.

Kama nifah ana roho mbaya kwa kusimamia anachoamini, basi nadhani kuna mashabiki fulani wa ndomo hawana mioyo kabisa bali mapulizo.😀
 
Last edited by a moderator:

Una roho mbaya kwa kuwa unaongea unachokiamini na unamshabikia unayemkubali.
Yani wewe ni muuaji mkubwa wa mashabiki fata upepo.
Inabidi tukushtaki, sio kwa roho mbaya iyo.kaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…