analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 731
- 614
Hellow wana JF,
Nimetambua ukweli kuwa JF ni jukwaa linalowafikia watanzania waliowengi kirahisi hasa baada ya maendeleo makubwa ktk Sayansi na Teknolojia ktk nchi yetu.
Pia nimetambua kuwa JF inamchanganyiko wa watu wenye Taaluma mbalimbali ambazo tukizitumia vyema, basi JF inaweza kuwa ni jukwaa litakalokuwa na mchango mkubwa ktk kuyafikia malengo ya maendeleo ya Milenia (MDGs)
Mimi nikiwa kama Mtaalamu wa Mifugo. Nimeamua kuwasaidia watanzania wenzangu kwa kutumia utaalamu nilionao kupitia JF (kwa kushirikiana na wataalamu wa mifugo wengine waliomo humu JF). Natoa wito, kwa mtu yeyote aliye na swali kuhusiana na aspect yoyote ile ya Ufugaji, aulize hapa, ushauri utatolewa bure.Ushauri huu nitautoa mimi mwenyewe au Mtaalamu mwengine yeyote aliyemu humu kupitia uzi huu. Wafugaji wazoefu pia tunawa encourage kushare uzoefu wao ktk matatizo yatakayokuwa raised na wafugaji wengine.
Ninaamini Uzi huu utakuwa na manufaa kwa wafugaji na watu wengine ambao wangependa kufuga ili kujiongezea kipato, ukizingatia hali ya maisha inaendelea kuwa ngumu kadiri siku zinavyosonga mbele.
Karibuni!!
Nimetambua ukweli kuwa JF ni jukwaa linalowafikia watanzania waliowengi kirahisi hasa baada ya maendeleo makubwa ktk Sayansi na Teknolojia ktk nchi yetu.
Pia nimetambua kuwa JF inamchanganyiko wa watu wenye Taaluma mbalimbali ambazo tukizitumia vyema, basi JF inaweza kuwa ni jukwaa litakalokuwa na mchango mkubwa ktk kuyafikia malengo ya maendeleo ya Milenia (MDGs)
Mimi nikiwa kama Mtaalamu wa Mifugo. Nimeamua kuwasaidia watanzania wenzangu kwa kutumia utaalamu nilionao kupitia JF (kwa kushirikiana na wataalamu wa mifugo wengine waliomo humu JF). Natoa wito, kwa mtu yeyote aliye na swali kuhusiana na aspect yoyote ile ya Ufugaji, aulize hapa, ushauri utatolewa bure.Ushauri huu nitautoa mimi mwenyewe au Mtaalamu mwengine yeyote aliyemu humu kupitia uzi huu. Wafugaji wazoefu pia tunawa encourage kushare uzoefu wao ktk matatizo yatakayokuwa raised na wafugaji wengine.
Ninaamini Uzi huu utakuwa na manufaa kwa wafugaji na watu wengine ambao wangependa kufuga ili kujiongezea kipato, ukizingatia hali ya maisha inaendelea kuwa ngumu kadiri siku zinavyosonga mbele.
Karibuni!!