Ushauri wa dharura

uyo tabia yake tu kuangaika,uo upuzi ulioueleza hauwezi kua sababu ya mtu kuachana na mtu anae mpenda!
 
It just shows how women can say one thing and mean the other. Anyway, it will only be a matter of time before she realizes she has shot herself in the foot.
 
Mapenzi sio siku zote yatakuwa kwenye peak tu, kuna wakati inatokea hivi ,na inataka akili ya ziada ili kuweza kuendelea kuwa na amani, sasa hapo dada ako anakaribisha vidonda vya tumbo, maadam kagundua hajabembelezwa kwenda kwenye pati, siku ingine ansilaze damu,vipimo vingine huwa havifanyi kazi kwa baadhi ya wanaume
 
kama majibu yake alikuwa hayapendi ya nini aliamua kumjaribu mkaka wa watu,nimependa sana kilichomkuta kwani itakuwa fundisho kwa wanawake ambao wako tayri kuharibu ndoa zao kwa kuwajaribu wenzi wao utadhani wao ni mashetani hata wawajaribu wenzao
ukome!!!!!!
 


Hiki kipimo na huu mtego yaani vinafaa kabisa kuwa script ya King Majuto! Dah! nimecheka mbaya aisee!
 
Naamini kuwa mapenzi ni imani, kile unachoamini ndicho hasa kitakachotokea. Dada yako ameshaamini kuwa hapendwi, ameweka mtego, amekwishaandaa hypothesis zake, lazma jibu atapenda liwe ndani ya hypothesis zake. Pia moyo wa binadamu unabadilika, hayo ni mabadiliko ya kawaida, na ndcho kpmo cha ukomavu wa mapenzi. Mwisho.. Asimuwazie vibaya mume wake. Asifikirie kukimbia hiyo sio suluhisho.
 
Hujui kuwa wanawake wengi vichwa vyakuku? Kama yy ndo alimruhusu shemu wako kutoka peke yake we ulitaka afanyaje? Never say sorry to a lady.
 
avumilie kidogo tu. akikua atajua maisha si kupimana na maisha si vipimo. kuna mengi ya maana na mazito katika maisha kuliko hivyo vipimo na hata kushinda hicho anachohisi ...kuwepo na mtu wa nje.
 
Kujiamini huwa maana yake nini?
Unapohisi au kujua mtu wako anacheat, ina maana ndio kutokujiamini?Usipohisi ndio kujiamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…