Ushauri wa gharama kwa serikali ya JK

Limbukeni

Senior Member
Joined
Feb 27, 2009
Posts
117
Reaction score
1
Imekuwa ni utamaduni dunia nzima kuazimisha maapisho ya maraisi yakitumia mamilion ya pesa za wenye nchi. Hili ni pendekezo langu iwapo raisi wa tanzania atachaguliwa kwa kipindi cha pili ataapisha chap chap aanze kazi zisitumike gharama zozote za kumualika mtu yeyote. Matatizo ya wenye nchi yanatualika kila kona tunabaki kuyakimbia .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…