ushauri wa haraka!

Loreen

Senior Member
Joined
Dec 24, 2011
Posts
110
Reaction score
32
habarini wanajf, kuna tatizo ambalo nahisi linasumbua wa2 wengi, ni hivi mnapoanza relation mpk level nyingine ni nani anatakiwa awe wa kwanza kumtamkia mwenzake kuwa wakajitambulishe au kufunga ndoa? je ni mwanamke au mwanaume? nisaidieni!
 
kama unataka ndoa tafuta mtu ambae na yeye anatafuta ndoa
sio lazima ukiwa kwenye relationship ni lazima ndoa ifungwe
 
smile kama ww ni msichana unatafutwa au unatafuta?
 
Hapo pia hakuna fomula, ila wakati wingine msukumo wa mtu na hamasa vinanaweza kumfanya yoyote kati ya msichana na mvulana akawa wa kwanza kutoa wazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…