Ushauri wa Hayati Magufuli kwa NSSF

Ushauri wa Hayati Magufuli kwa NSSF

Peasant educator

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2020
Posts
209
Reaction score
187
Habari wadau.

Katika sera za Hayati Magufuli kuelekea uchaguzi wa oct2020 alitoa ushauri kwa NSSF kutowekeza tena kwenye makongo na kuwekeza kwenye ujenzi wa viwanda.

Tathmini ndogo tu iliyofanyika ila sijachapa hii report, jengo la mlimani la blue (PPF tower km sijakosea) liligharimu about 250btsh na so far lina mpangaji mmoja km data hazijabadilika, fedha zile tunaweza jenga viwanda walau vitano (5 medium scale factories), inclusive of jengo machineries na capital ya kutosha kurun for more than a year na kuwekeza kutoa ajira za moja kwa moja takriban 200 kwa kila kiwanda. Ajira zisizo za moja kwa moja ni zaid ya 1000 kwa kila kiwanda.

Wanufaika wangekuwa wazalishaji wa nyanya kwa bidhaa za sause na ketchup, pamba kwa kutengeneza nguo, viazi na mazao na nafaka nyenginezo. Tungeweza tengeneza Ajira nyingi sana kila mwaka.

NSSF wamefikia wapi kwenye hili au zilikw siasa tu zile agizo lilipuuzwa?

Mchango bila mihemko na matusi yanakaribishwa!

NB: alipopatia JPM apongezwe kuna mda alikosa wasaidizi alikuwa na wasaka tonge wengi wamemzunguka. Ndo mana alikosa sehem nyengine ila alisema bora ujaribu na kusali kuliko kutojaribu kabisa.
 
Wakati wastaafu hawalipwi halafu pesa zao zikawekwe kwenye high risks business kama viwanda?
Hawawezi lips km hawaingizi kitu, lazima wawekeze kwenye mradi itakayorudisha fedha ndani ya mwaka au miaka mwili baada ya mradi kukamilika na kuanza kuzalisha. They need business oriented ppl kwenye hiyo taasisi
 
FAO LA KUKOSA AJIRA LIRUDISHWE,NI UNYONYAJI KAMA UNYONYAJI MWINGINE TU
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Baada ya Dau kuondolewa nssf na kuingia Kahyarara alianzisha miradi mkakati ya sukari huko mkulazi na mbigiri huko morogoro kwa ubia na ppf,
Tatizo Erio hakupenda Kahyarara awe ndo Mwenye mamlaka zaidi yake kwani alipenda zaidi kula pesa kitu ambacho kahyarara hakukiafiki.
Mwisho wa siku Erio akamuweka mtu wake kua CHIEF ACCOUNTANT(sasa DF NSSF) ambaye alianza kumchafua kahyarara ikafika wakati akaandika hundi na kumkabidhi Erio na Erio kuikabidhi kwa wana usalama ikamfikia Jpm kwa maelezo kua Kahyarara alitaka kuiba 200m,
Matokeo yake kahyarara katumbuliwa na Erio ku take Over.
Ila hakufanikiwa ktk kumalizia kazi ya mtangulizi wake mkulazi na matokeo yake mmeona hasara ya 4.7B katika ripoti ya CAG.
Jengo la mzizima twin tower tangu Erio aingie hakuliendeleza pamoja na ile ya hoteli ya mwanza, sababu kubwa ni kua hapakua na 10% tena maana contracts zilishasainiwa na mtangulizi wake Dau.
Huyu Erio alitegemea sana fadhila za wakubwa kwa sababu ya ujomba kwa hayati Mkapa, na zaidi kugawa rushwa.
Jengo la mlimani city there is a something fishy.[emoji848][emoji848] lichunguzwe
Habari wadau.

Katika sera za Hayati Magufuli kuelekea uchaguzi wa oct2020 alitoa ushauri kwa NSSF kutowekeza tena kwenye makongo na kuwekeza kwenye ujenzi wa viwanda.

Tathmini ndogo tu iliyofanyika ila sijachapa hii report, jengo la mlimani la blue (PPF tower km sijakosea) liligharimu about 250btsh na so far lina mpangaji mmoja km data hazijabadilika, fedha zile tunaweza jenga viwanda walau vitano (5 medium scale factories), inclusive of jengo machineries na capital ya kutosha kurun for more than a year na kuwekeza kutoa ajira za moja kwa moja takriban 200 kwa kila kiwanda. Ajira zisizo za moja kwa moja ni zaid ya 1000 kwa kila kiwanda.

Wanufaika wangekuwa wazalishaji wa nyanya kwa bidhaa za sause na ketchup, pamba kwa kutengeneza nguo, viazi na mazao na nafaka nyenginezo. Tungeweza tengeneza Ajira nyingi sana kila mwaka.

NSSF wamefikia wapi kwenye hili au zilikw siasa tu zile agizo lilipuuzwa?

Mchango bila mihemko na matusi yanakaribishwa!

NB: alipopatia JPM apongezwe kuna mda alikosa wasaidizi alikuwa na wasaka tonge wengi wamemzunguka. Ndo mana alikosa sehem nyengine ila alisema bora ujaribu na kusali kuliko kutojaribu kabisa.
 
UZURI MAMA KAMTUMBUA


QUOTE="laptop90, post: 38736656, member: 454055"]
Baada ya Dau kuondolewa nssf na kuingia Kahyarara alianzisha miradi mkakati ya sukari huko mkulazi na mbigiri huko morogoro kwa ubia na ppf,
Tatizo Erio hakupenda Kahyarara awe ndo Mwenye mamlaka zaidi yake kwani alipenda zaidi kula pesa kitu ambacho kahyarara hakukiafiki.
Mwisho wa siku Erio akamuweka mtu wake kua CHIEF ACCOUNTANT(sasa DF NSSF) ambaye alianza kumchafua kahyarara ikafika wakati akaandika hundi na kumkabidhi Erio na Erio kuikabidhi kwa wana usalama ikamfikia Jpm kwa maelezo kua Kahyarara alitaka kuiba 200m,
Matokeo yake kahyarara katumbuliwa na Erio ku take Over.
Ila hakufanikiwa ktk kumalizia kazi ya mtangulizi wake mkulazi na matokeo yake mmeona hasara ya 4.7B katika ripoti ya CAG.
Jengo la mzizima twin tower tangu Erio aingie hakuliendeleza pamoja na ile ya hoteli ya mwanza, sababu kubwa ni kua hapakua na 10% tena maana contracts zilishasainiwa na mtangulizi wake Dau.
Huyu Erio alitegemea sana fadhila za wakubwa kwa sababu ya ujomba kwa hayati Mkapa, na zaidi kugawa rushwa.
Jengo la mlimani city there is a something fishy.[emoji848][emoji848] lichunguzwe
[/QUOTE]
 
DG wa nssf Prof kahyarara alianzisha mradi wa viwanda vya sukari mkulazi na mbigiri kwa kushirikiana na DG wa ppf bwana Erio.
Sasa Erio alianza kumfitini kahyarara hadi rais akamtumbua na yeye Erio kuchukua nafasi hyo kama DG nssf na hapo ndo kifo cha miradi ile kufa kifo cha mende maana erio ni anapenda 10% sasa kwa jpm hiiiiiiiiiiiiiii,
Jengo la mlimani walokua wakurugenzi ppf walipewa ATM cards za dollar, wakisafiri wanachota mipesa huko.
Wanatakiwa takukuru mapeeeema
Habari wadau.

Katika sera za Hayati Magufuli kuelekea uchaguzi wa oct2020 alitoa ushauri kwa NSSF kutowekeza tena kwenye makongo na kuwekeza kwenye ujenzi wa viwanda.

Tathmini ndogo tu iliyofanyika ila sijachapa hii report, jengo la mlimani la blue (PPF tower km sijakosea) liligharimu about 250btsh na so far lina mpangaji mmoja km data hazijabadilika, fedha zile tunaweza jenga viwanda walau vitano (5 medium scale factories), inclusive of jengo machineries na capital ya kutosha kurun for more than a year na kuwekeza kutoa ajira za moja kwa moja takriban 200 kwa kila kiwanda. Ajira zisizo za moja kwa moja ni zaid ya 1000 kwa kila kiwanda.

Wanufaika wangekuwa wazalishaji wa nyanya kwa bidhaa za sause na ketchup, pamba kwa kutengeneza nguo, viazi na mazao na nafaka nyenginezo. Tungeweza tengeneza Ajira nyingi sana kila mwaka.

NSSF wamefikia wapi kwenye hili au zilikw siasa tu zile agizo lilipuuzwa?

Mchango bila mihemko na matusi yanakaribishwa!

NB: alipopatia JPM apongezwe kuna mda alikosa wasaidizi alikuwa na wasaka tonge wengi wamemzunguka. Ndo mana alikosa sehem nyengine ila alisema bora ujaribu na kusali kuliko kutojaribu kabisa.
 
Baada ya Dau kuondolewa nssf na kuingia Kahyarara alianzisha miradi mkakati ya sukari huko mkulazi na mbigiri huko morogoro kwa ubia na ppf,
Tatizo Erio hakupenda Kahyarara awe ndo Mwenye mamlaka zaidi yake kwani alipenda zaidi kula pesa kitu ambacho kahyarara hakukiafiki.
Mwisho wa siku Erio akamuweka mtu wake kua CHIEF ACCOUNTANT(sasa DF NSSF) ambaye alianza kumchafua kahyarara ikafika wakati akaandika hundi na kumkabidhi Erio na Erio kuikabidhi kwa wana usalama ikamfikia Jpm kwa maelezo kua Kahyarara alitaka kuiba 200m,
Matokeo yake kahyarara katumbuliwa na Erio ku take Over.
Ila hakufanikiwa ktk kumalizia kazi ya mtangulizi wake mkulazi na matokeo yake mmeona hasara ya 4.7B katika ripoti ya CAG.
Jengo la mzizima twin tower tangu Erio aingie hakuliendeleza pamoja na ile ya hoteli ya mwanza, sababu kubwa ni kua hapakua na 10% tena maana contracts zilishasainiwa na mtangulizi wake Dau.
Huyu Erio alitegemea sana fadhila za wakubwa kwa sababu ya ujomba kwa hayati Mkapa, na zaidi kugawa rushwa.
Jengo la mlimani city there is a something fishy.[emoji848][emoji848] lichunguzwe
Sjui kwanini hadi sasa hawajamkamata Erio hawa takukuru
 
Back
Top Bottom