Ushauri wa Hino,Isuzu Journey na Mitsubishi fuso.

Ushauri wa Hino,Isuzu Journey na Mitsubishi fuso.

Tojobizy

Member
Joined
Mar 6, 2018
Posts
23
Reaction score
19
Habari ndugu zangu,

Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na haya magari (Hino,Isuzu na Mitsubishi Fuso) nahitaji kufanya biashara ya bus la abiria kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine i.e Iringa to Dodoma au Iringa to Morogoro. Je basi lenye CC 6000-8000 linaweza kufaa na kudumu kwa muda mrefu? na je basi lenye engine nyuma litafaa?
Natanguliza shukrani, Ahsante.
 
Habari ndugu zangu,

Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na haya magari (Hino,Isuzu na Mitsubishi Fuso) nahitaji kufanya biashara ya bus la abiria kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine i.e Iringa to Dodoma au Iringa to Morogoro. Je basi lenye CC 6000-8000 linaweza kufaa na kudumu kwa muda mrefu? na je basi lenye engine nyuma litafaa?
Natanguliza shukrani, Ahsante.
naombeni msaada ndugu kwa wenye uelewa...
 
Hivi karibuni kuna basi aina ya tata ultra zineingia mjini. Kwa vile watu wengi huamini sana gari za tata ningependekeza hizo pia mkuu
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    31.7 KB · Views: 43
Back
Top Bottom