Ushauri wa kibiashara: Je hii ni kosa kisheria ?

Ushauri wa kibiashara: Je hii ni kosa kisheria ?

freeboy

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
242
Reaction score
191
Habari wana jukwaa

Wana jukwaa naombeni ushauri wa KISHERIA nawasilisha swali langu kwa mfumo wa mifano zaidi ili nieleweke.
Kwa MFANOmimi ni mjasiliamali mdogo nataka kuanzisha biashara fulan (mfano kuuza UNGA WA MAHINDI ) lakini sina MTAJI wa kuniwezesha kufanikisha hili kuanzia kununua malighafi hadi vitendea kazi km vile mashine za kusagia mahindi.

SWALI

Nikiamua kununua bidhaa ambazo zinazalishwa na makampun mengine(mfano wa UNGA WA MAHINDI) na kuufanyia upakiaji upya katika ujazo tofauti(mfano kwa unga ktk vipimo vya 1/2Kg au 1kg n.k).
JE hapo nitakua nimevunja sheria yoyote ya ushindani wa kibiashara kwa kununua bidhaa ya mtu na kuifanya km bidhaa yako lakini ktk muonekano tofauti na ulivyonunua.?

N.B

Ushauri ninaouhitaji ni wa kisheria za biashara sio ule wa kusema inawezekana ama haiwezekani maana najua wapo wajasiliamali wanaonunua bidhaa na kuziua kwa muonekano wao ila inaruhusiwa kisheria hiyo bidhaa uiuze tena kwa jina miliki lako na sio la Yule uliyenunua.
 
Sijui sheria ...sina uhakika na bidhaa za chakula ila inaweza saidia katika utafutaji wa jibu la swali lako. Google OEM (original equipment manufacture) ujisomee zaidi.
 
Sijui sheria ...sina uhakika na bidhaa za chakula ila inaweza saidia katika utafutaji wa jibu la swali lako. Google OEM (original equipment manufacture) ujisomee zaidi.

Asante sana mkuu truckdriver ngoja niwahi nikajisomee mwenyewe huko.

Ubarikiwe
 
Last edited by a moderator:
Kwa uelewa wangu mkuu ukifanya ivyo bila ya kumhusisha mwenye bidhaa nadhani utakuwa umevunja moja ya sheria za intellectual property, wengi wanachofanya na kinaruhusiwa kisheria ni kumtafuta supplier wa izo products then zinakuwa packed under your brand name, mfano mzuri angalia Nazi za bakhressa, siyo yeye anayezitengeneza lkn ni brand yake, angalia toilet paper za shwari, zinatengenezwa china huko na manufacturer then mwenye brand ya shwari analipia afanyiwe packaging yake
 
Kwa uelewa wangu mkuu ukifanya ivyo bila ya kumhusisha mwenye bidhaa nadhani utakuwa umevunja moja ya sheria za intellectual property, wengi wanachofanya na kinaruhusiwa kisheria ni kumtafuta supplier wa izo products then zinakuwa packed under your brand name, mfano mzuri angalia Nazi za bakhressa, siyo yeye anayezitengeneza lkn ni brand yake, angalia toilet paper za shwari, zinatengenezwa china huko na manufacturer then mwenye brand ya shwari analipia afanyiwe packaging yake

Asante sana mkuu kwa maelezo mazuri yaliyo na mifano pia.
 
Back
Top Bottom