Huyo kaka yako ana matatizo, anawezaje kukupa au kukukopesha hela ya mtaji wa biashara isiyojulika. Labda hizo hela ni chafu.
Kabla cjatoa ushauri wangu naomba kukuuliza umesomea fani ipi??
Uko wapi?? Kama uko mjini tafuta sehemu yenye ofisi nyingi then fungua stationary..target kuwauzia watu wa maofisini kwa jumla na reja reja anza kujipendekeza kwa watu wa ofisini kama wewe ni mwanamke itakuwa rahisi kwako kupata connection
Kuna wanaume humu wana wish wangelikuwa wanawake. Duh!
Hayo umesema wewe mimi nampa tu according na reality ya maisha ya downtown Dar Es Salaam
Ukianza kunishambulia mimi sina la kukurudishia but nitakudharau
Nakuruhusu unidharau kama ukinipa sababu positive kwamba mtu kuwa mwanamke ni advantage kwenye biashara. Je nikwamba wafanya biashara wengi upendelea kutoa biashara kwa wanawake? kwa sababu kama ni hivyo namimi nitapenda kuwa mwanamke. Nadhani ukiri makosa uombe msamaha na u withdraw hiyo statement. Inaruhusiwa kufanya hivyo
Tafuta thread zenye michango na mtazamo kama wa kwako ziko nyingi tuu umu JF kama Micha
alivyochangia...
Na nakushauri sio kila ushauri ni wa kuufata au kukumiza kichwa kwa majibuya wachangiaji wengine ni wivu tuu ndio unawasumbua,,,kwa kuwa wana muhuri ya wivu wasiotaka wenzao waendelee lazima watajitahidi kuwarudisha nyuma
Ndg. Bobo ninachoshangaa ni kuwa Huyo kaka yako amekupa Sh 30m bila hata kukuuliza unachotaka kufanya. Nikuulize biashara gani wewe unapenda kufanya?. Biashara ziko nyingi sana na kila biashara kuna watu zimewatajirisha. Hoja siyo kufanya tu biashara Fulani kwasababu ina faida kubwa, chamsingi ni kufanya biashara unayoipenda. Kama biashara huipendi lakini unaifanya tu kwasababu umeambiwa Ina faida sana ujue utakata msingi tu.
Tafuta thread zenye michango na mtazamo kama wa kwako ziko nyingi tuu umu JF kama Micha
alivyochangia...
Na nakushauri sio kila ushauri ni wa kuufata au kukumiza kichwa kwa majibuya wachangiaji wengine ni wivu tuu ndio unawasumbua,,,kwa kuwa wana muhuri ya wivu wasiotaka wenzao waendelee lazima watajitahidi kuwarudisha nyuma
Nashukuru sana ndg Chum chang...hilo nalo sijaliaacha nimeeanza kufuatilia thread kadhaa ambazo nazo zina mtazamo yakinifu kama wangu..na zaidi ya yote bado nachanganua na nitatoa feedback kwa kile nilichoamua. nashukuru sana
Habari zenu wana JF..
Leo nimerudi tena baada ya kupotea kwa muda mrefu nikiwa katika gurudumu la mchakato wa elimu. Nami natoa shukrani zangu za pekee kwa mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kumaliza elimu yangu ya juu. Mdogo wenu nimekuja kupata ushauri ili kuweza kujikomboa katika umaskini unaoendelea katika bara za nchi za afrika. kama mnavyojua nchi yetu ta TZ kwa sasa imekumbwa na dhiki ya ajira kwa vijana kwa muda mrefu, mbali na ivo nimethubutu kabisa kukataa kuajiriwa na kutaka kuanzisha biashara ambayo hapo baadaye inaweza ikawa chachu ya ajira kwa vijana wenzangu.
Nimeweza kupata mkopo usio na riba wa TSH MILLION 30 kutoka kwa kaka yangu kwa ajili ya kuanzisha biashara nitakayoidumu, Ivyo basi nimekuja kwenu GREAT THINKERS kuomba ushauri juu ya biashara gani inafaa kwa sasa ukitegemea na mtaji husika.
Ushauri wenu ni muhimu sana.
Ahsanten.
Mkuu mlata mada hajakosea kitu ila nafikiri hujamwelewa vizuri. Amemaliza kusoma na bro ameahidi kumpa 30m afanye biashara, kwahiyo kijana amekimbilia JF kuomba msaada. Kama una mawazao mazuri ya biashara mshauri, huwezi jua kesho anaweza kuwa mwajiri mzuri akaajiri na wadogo zako, wewe si unaona ajira zilivyo ngumu ziku hizi? Tunatakiwa tupeane support na siyo kukatishana tamaa na hasa kwa wajasiriamali.
Bobo kuna thread nyingi humu ndani ambazo zilikuwa na mawzo mazuri ya ujasiriamali, nakushauri search uzipitia zitakusaidia.
Yap ukirudi na kutoa feedback huo ndio ungwana-mimi si nabii lkn nakutabiria mafanikio na nakuombea kila kheri kwenye safari hiyo unayotaka kuianzisha iwe na mafanikio na uwezi kukabiliana na yatakayo jitokeza,wenzio tulipita umo umo
Red: unamaanisha ana 'uchumi'?Uko wapi?? Kama uko mjini tafuta sehemu yenye ofisi nyingi then fungua stationary..target kuwauzia watu wa maofisini kwa jumla na reja reja anza kujipendekeza kwa watu wa ofisini kama wewe ni mwanamke itakuwa rahisi kwako kupata connection
we kweli bobo