K kidamali NYAMIHUU New Member Joined Feb 28, 2015 Posts 1 Reaction score 0 Feb 28, 2015 #1 Wana jukwaa mm ni kijana natamani kufanya biashara ila mtaji (capital) nilionao ni kama laki sita hivi, Je ni biashara gani nitakayoweza kuifanya?
Wana jukwaa mm ni kijana natamani kufanya biashara ila mtaji (capital) nilionao ni kama laki sita hivi, Je ni biashara gani nitakayoweza kuifanya?
jesca.com Member Joined Jan 11, 2015 Posts 38 Reaction score 5 Mar 7, 2015 #2 angalia wewe unaweza fanya nini angalia soko la hiyo biashara yako kama haina soko mahali uliko angalia biashar yenye soko kitu muhim kuwa mvumilivu
angalia wewe unaweza fanya nini angalia soko la hiyo biashara yako kama haina soko mahali uliko angalia biashar yenye soko kitu muhim kuwa mvumilivu
Muyagha JF-Expert Member Joined Nov 29, 2014 Posts 234 Reaction score 201 Mar 7, 2015 #3 Nyuzi zilizomo kwenye jukwaa hili la ujasiliamali zatosha kabisa kukupa wazo zuri la biashara. USISAHAU za kuambiwa changanya na zako...
Nyuzi zilizomo kwenye jukwaa hili la ujasiliamali zatosha kabisa kukupa wazo zuri la biashara. USISAHAU za kuambiwa changanya na zako...