Ushauri wa kimasomo bure

educator2025

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
395
Reaction score
455
je wewe ni mwanafunzi au mtu yoyote unataka kujiendeleza kimasomo katika ngazi yoyote ya elimu na hujui pa kuanzia? binafsi natoa ushauri wapi unaweza ku-apply kulingana na grades zako kwa sasa naweza kukusaidia jinsi ya kuomba vyuo vikuu vya South Africa 1. UNISA 2. PRETORIA 3. KWA ZULU NATAL 4. CAPE TOWN
Kenya ni 1. UNIV. OF NAIROBI 2. KENYATTA3. MOI 4.EGERTON 5. KABARAK
 
PhD ya discipline/specialization ipi? ulisoma nini Bachelor & Master degree level?
 
Mkuu umenigusa sehemu zangu

Kwanza natamani sana nifanye Masters MASWALA YA GOVERNANCE CHUO chochote nje ya Tanzania, ama south, kenya hapana, hata south kwenyewe naogopa kufa, maana mm mtu wa kujirusha madisco, kwa kifupi naogopa sana nchi ambayo miguu ya kuku inauzwa hadharani. wengine tuna alerge



Pili..Kama nikikosa nje sitamani kusoma masters kabisa, kwa kuwa najua kwa nchi hii haitanisaidia chochote. walimu wanazifanya ngumu sana, pili hazina ubora kama wa wenzetu..bisha tu ukweli ndio huo
.

Mwisho muhimu, sina hata kumi mfuko
ni
usiulize kwa nn
 

Mkuu mimi napenda kufanya masters ya Pablic Administration au Public policy Uganda. Naomba ushauri wako.
 
kwa south Africa mji uliotulia zaidi ni Pretoria so unaweza kwenda kusoma ama UNISA au UNIV. OF PRETORIA = hapo univ. of Pretoria unaweza usoma MA Public Admin. MA Intl relations na zote ni by thesis tu
 
vyuo vya Uganda sina experience nao maana vyuo vingi vya huko watu wanalalamika kuwa ni feki ikiwemo KAMPALA INTERNATIONAL UNIVERSITY (KIU) & UGANDA TECHNOLOGY & MANAGEMENT UNIVERSITY ( UTAMU)
 
ni kweli chuo kama kampala international university (KIU) ni chuo cha magumashi maana kuna tuhuma kuwa wao ndo walitoa cheti kwa GAVANA WA MOMBASA, KENYA na wakati hajawahi kuingia hata siku moja darsani (Mhe. alinunua digrii kama njugu.
 
PhD ya discipline/specialization ipi? ulisoma nini Bachelor & Master degree level?

Mkuu ntakupm, tuongee serious matters hawa watoto wa bachelors degree wanazingua kweli mara pdh ya hemed achana nao
 

How do you tell whether a man is an educated person? Is it because he has a vast fund of knowledge
 

tatizo hizo ada sasa.
 
Vyuo vingi vya Uganda hasa KIU & UTAMU & NKUMBA ni zoa zoa tu nakumbuka kuna jamaa alipata Division 4 ya point 19 (form 6) akaenda huko Uganda akapokelewa kwa mikono miwili
 

We jamaa ni noma sana aisee
 
Bahati mbaya nimeacha kutukana niko ramadhani, vile hunijui sikujui we dhani kuchangia hizi thread tunafanana, kama we hukusoma usisemee wengine

Samahani mkuu, sikutarajia ukwazike na utani wangu.
 

Mkuu, nahitaji Degree ya Shipping & Port Management.
 

Mkuu mimi nahitaji kufanya masters ya pharmaceutical analysis au medicinal chemistry. Naomba ushauri wako...

Nina bachelor ya pharmacy(MUHAS)
 
Mkuu mimi nahitaji kufanya masters ya pharmaceutical analysis au medicinal chemistry. Naomba ushauri wako...

Nina bachelor ya pharmacy(MUHAS)

Okay, mkuu Kenyatta University na Kabarak University wana-offer hiyo koz kwa level ya Masters mpaka PhD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…