Yule mwenye dhamana ya kusoma si ameshasema; Division ya kuunga unga haihitajiki SIRIKALINI?
Lakini nadhani alimaanisha vibarua vipya, wewe si una apugredi sio? Endelea....hata hivyo si wamebakisha nyundo saba tu, pengine yatabadilika kama hawatabadilisha vile vipindi!