Geti la mbinguni hupiti😂😂😂😂 kwahiyo ukampa faraja?Hahahaa! Mkuu umejuaje kama kwasasa humalizi mwezi unalia? Binafsi nilikutana na binti mmoja analia kwenye ule mgahawa ambao zamani ulikuwa avalon cinema (food world) nikajidai kumfata na kumuhoji kulikoni mbona analia akaniambia katendwa nikaanza kumshauri, tukabadilishana namba tena landline, nilijuta baadae bint akaniganda eti mimi ni mtu sahihi kwake wakati najijua mimi ni zaidi ya wahuni kimoyomoyo nikasema mbona hakomi huyu
Kuna point kubwa Sana hapajamaa mnafanya nae kaz sehm moja? kama hapana nxt tme jtahid kufcha mahusiano yako au mambo unayoptia kwenye mahusiano yenu kama furaha au ugomv kuwashirkisha wenzako mana hapo ndipo walpo chukulia point kazn n sehem ya Do your work get your salary Then go hom spend your money and Time.. pole sana
Inaonekana yule kaweka maovu ya bidada hadharani jamaa akaamua kumwaga , anyanga na Ili kumuumiza akaamua kumpiga na kitu kizitoHapo tatzo lpo kwa huyo mwenzio unaefanya nae kaz dear.
Cha msingi kubali kuwa ni hali kweli imekukumba ww na nafsi yako.
Futa namba ya hilo dume na anza upya.
Chanzo cha mgogoro pleas naweza kukusaidiaHello wana jf mi ni mwanadada mfanyakazi serikalini sijawahi kuwa na mtoto! Naombeni ushauri wenu nilikuwa na mahusiano na mkaka akanitolea mahali na tulipanga tarehe ya harusi mwaka jana tumegombana ameanzisha mahusiano na mfanyakazi mwenzangu plz naomba yeyote mwenye kuelewa mtu wa saikolojia ushauri anielekeze nimtafute ili niweze kurecover na kusahau kabisa. Asanteni
Pole sana.Kama unampenda ungejaribu kumuomba msamaha tu.Hello wana jf mi ni mwanadada mfanyakazi serikalini sijawahi kuwa na mtoto! Naombeni ushauri wenu nilikuwa na mahusiano na mkaka akanitolea mahali na tulipanga tarehe ya harusi mwaka jana tumegombana ameanzisha mahusiano na mfanyakazi mwenzangu plz naomba yeyote mwenye kuelewa mtu wa saikolojia ushauri anielekeze nimtafute ili niweze kurecover na kusahau kabisa. Asanteni
Tatizo huyu hajaponq. Na wewe yatakuwa yale yale!Achana nae njoo kwangu[emoji41]
Huyo dada kafitinishwa na wafanyakazi wenzie wa kike aliowaamini na kuwapa siri zake zote juu ya huyu mwanaume. Wadada wengi yamewakuta ya namna hii.Mi nadhani huyo jamaa atakuwa na shida na siyo ndogo na vipi mlivyokorofishana ulijaribu kuongea nae na kuomba msamaha?? Maana si hali ya kawaida mtu akalipa hadi mahari alafu aingie mitini tena mbaya zaidi anaanzisha mahusiano na mfanyakazi mwenzako,,
nimecheka sana[emoji3][emoji2][emoji2]Hahahaa! Mkuu umejuaje kama kwasasa humalizi mwezi unalia? Binafsi nilikutana na binti mmoja analia kwenye ule mgahawa ambao zamani ulikuwa avalon cinema (food world) nikajidai kumfata na kumuhoji kulikoni mbona analia akaniambia katendwa nikaanza kumshauri, tukabadilishana namba tena landline, nilijuta baadae bint akaniganda eti mimi ni mtu sahihi kwake wakati najijua mimi ni zaidi ya wahuni kimoyomoyo nikasema mbona hakomi huyu