Peace and Love all rastafrie,
jamani kwa mwenye utaalamu wa suala hili anisaidie.Hivi kwanini mtu ukivuta bangi bila kuichanganya na sigara huwa unasikia kama mishipa ya kichwa inauma lakini ukiichanganya haiumizi.Kuna tatizo gani katika dry na sio mixer.
ONE LOVE IN PEACE OF JAH!