Ushauri wa kufungua Daycare

Ushauri wa kufungua Daycare

Mutedian

Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
7
Reaction score
0
Habari zenu! Naomba msaada wa taarifa zitakazosaidia kufungua daycare. Mtu anahitaji kua na nini na nini kwa standard day care, natanguliza shukrani
 
Kama upo Tanzania tembelea ofsi ya Ustawi wa Jamii
Habari zenu! Naomba msaada wa taarifa zitakazosaidia kufungua daycare. Mtu anahitaji kua na nini na nini kwa standard day care, natanguliza shukrani
 
Pia nakushauri uwe angalau na Diploma ya mambo ya Lishe.
La sivyo utauwa watoto wa watu,nakuwatoa vitambi

Na pili ulezi ni kipaji,kuna mama alifungua hii kila siku alikuwa anapigizana kelele na watoto,anawafokea kama kichaa.
Yaani tambua kwamba ile ni ajira,sio unavyomlea mwanao ufanye kama unavyolea watoto hao.

Kuna Dar Care moja pale Tabata,yaani kwa jinsi malezi yalivyo vizuri basi unakuta unaenda kumchukua mtoto anakugomea hataki kuondoka,hadi umdanganye ndio unaendanae nyumbani,kesho mapema tu analianzisha tena aende Care Center.
Sasa lazima ujue namna ya kukaa na watoto,kuna watoto wamepinda kwa utundu.na pia jitambue kama kweli unaweza na usibahatishe.

Maana mie binafsi sio siri siwezi kabisaa,yaani watakuta siku moja nimewafunga kamba watoto wote,yaani pale ukienda kuna watoto kama wamekula nyama ya Tumbili,ukimwambia aache hiki kashika kile,kupiga wenzao,rushia mawe wenzake,yaani balaa,bora wale wachanga,lakini wakiishafika 3 yrs ni balaa bin wazim.
 
kama alivyokwisha kusema mwenzangu aliyetoka hapo juu ni vyema kuwa ujuzi wa kufundisha watoto wadogo

na vileviile uwe na kipaji cha watoto, na jinsi gani unaweza kutambua tabia ya mtoto mmoja mmoja kwani kila mtoto anatabia zake, jenga mahusiano mazuri kwa mtoto au watoto ambao unataka kuwafundisha, jenga mazoea na ukaribu wa kutambua hobby zao kwani watoto nao huwaga nwana mood wakati fulani
 
Pia nakushauri uwe angalau na Diploma ya mambo ya Lishe.
La sivyo utauwa watoto wa watu,nakuwatoa vitambi

Na pili ulezi ni kipaji,kuna mama alifungua hii kila siku alikuwa anapigizana kelele na watoto,anawafokea kama kichaa.
Yaani tambua kwamba ile ni ajira,sio unavyomlea mwanao ufanye kama unavyolea watoto hao.

Kuna Dar Care moja pale Tabata,yaani kwa jinsi malezi yalivyo vizuri basi unakuta unaenda kumchukua mtoto anakugomea hataki kuondoka,hadi umdanganye ndio unaendanae nyumbani,kesho mapema tu analianzisha tena aende Care Center.
Sasa lazima ujue namna ya kukaa na watoto,kuna watoto wamepinda kwa utundu.na pia jitambue kama kweli unaweza na usibahatishe.

Maana mie binafsi sio siri siwezi kabisaa,yaani watakuta siku moja nimewafunga kamba watoto wote,yaani pale ukienda kuna watoto kama wamekula nyama ya Tumbili,ukimwambia aache hiki kashika kile,kupiga wenzao,rushia mawe wenzake,yaani balaa,bora wale wachanga,lakini wakiishafika 3 yrs ni balaa bin wazim.
Dah! Nimechekaje? Eti nitafunga kwenye kamba
 
Back
Top Bottom