USHAURI WA KUJIKWAMUA KIMAISHA.

USHAURI WA KUJIKWAMUA KIMAISHA.

Joined
Sep 23, 2022
Posts
28
Reaction score
25
Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu mwaka 2024 mwezi wa nane. Nimesoma mambo ya uhandisi wa mashine zote za Hospital, Kwasasa naishi maeneo ya Nyegezi Mwanza mtaa wa Nyamazobe. Nina kiasi cha Tshs 400, 000 (Laki nne) pamoja na laptop, naombeni msaada wa ushauri nifanye mishe gani ili niweze kujikwamua kiuchumi kwasababu naona mtaani pagumu sana. Sipendi kujiingiza katika vitendo viovu.

Nitangulize shukrani 🙏🙏
Mungu awabariki Nyote.
 
Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu mwaka 2024 mwezi wa nane. Nimesoma mambo ya uhandisi wa mashine zote za Hospital, Kwasasa naishi maeneo ya Nyegezi Mwanza mtaa wa Nyamazobe. Nina kiasi cha Tshs 400, 000 (Laki nne) pamoja na laptop, naombeni msaada wa ushauri nifanye mishe gani ili niweze kujikwamua kiuchumi kwasababu naona mtaani pagumu sana. Sipendi kujiingiza katika vitendo viovu.

Nitangulize shukrani 🙏🙏
Mungu awabariki Nyote.
Tafuta ndugu au rafiki uliemuacha form4 akushike mkono
 
Uza laptop uchanganye na hiyo laki nne atleast utakua unaikaribia Meter au unaeza ukawa umeipata.

Hapo sasa hata kama ukiamua kupita kwenye kila Daladala unachekesha utafanikiwa, maana confidence(hela) unayo ya kutosha.
 
Au hiyo laki nne nunua chakula cha kutosha na mahitaji muhimu.

Nunua mic Weka bando la kutosha la Internet, fungua akaunti zoote unazozijua(social network)kisha uwe unajifungia chumbani asubuhi mchana mpaka usiku.

Kazi yako unaokoteza habari latest, hasa mpira na umbeya, kisha unakua unazitolea maelezo kizushi zushi kisha unazipost kwa vichwa vya habari vilivyokaa kijanja, mfano ishu ya diamond iliyotokea kenya unaeza andika hivi '' Duuuh!! Tazama diamond alivyopigwa ngumi na willy Paul"


Au hii ishu ya tundu lissu na mbowe.
Unaeza kuandika hivi, " Tundu lissu KUZIchapa na mbowe live, ccm waingilia kati kuwaamulia"
Kwa jinsi mitanganyika ilivyo mijinga haiwez kuelewa kosa ulilolifanya makusudi kwenye hiyo heading, yatafungua video fasta yaone mbowe na lissu wakipigana, yakifungua yanakutana ukisimulia habari hiyo kwamba tundu na mbowe watapambana kuwania uwenyekiti.

Hii itakuchukua muda lakini ikiboom wewe ni mwendo wa kula dola za mzungu tu

Achana kuwaza mambo uliyosomea yatakupotezea muda
 
Au hiyo laki nne nunua chakula cha kutosha na mahitaji muhimu.

Nunua mic Weka bando la kutosha la Internet, fungua akaunti zoote unazozijua(social network)kisha uwe unajifungia chumbani asubuhi mchana mpaka usiku.

Kazi yako unaokoteza habari latest, hasa mpira na umbeya, kisha unakua unazitolea maelezo kizushi zushi kisha unazipost kwa vichwa vya habari vilivyokaa kijanja, mfano ishu ya diamond iliyotokea kenya unaeza andika hivi '' Duuuh!! Tazama diamond alivyopigwa ngumi na willy Paul"


Au hii ishu ya tundu lissu na mbowe.
Unaeza kuandika hivi, " Tundu lissu KUZIchapa na mbowe live, ccm waingilia kati kuwaamulia"
Kwa jinsi mitanganyika ilivyo mijinga haiwez kuelewa kosa ulilolifanya makusudi kwenye hiyo heading, yatafungua video fasta yaone mbowe na lissu wakipigana, yakifungua yanakutana ukisimulia habari hiyo kwamba tundu na mbowe watapambana kuwania uwenyekiti.

Hii itakuchukua muda lakini ikiboom wewe ni mwendo wa kula dola za mzungu tu

Achana kuwaza mambo uliyosomea yatakupotezea muda
Hapa pesa atapataje mkuu, samahani naomba kuelimishwa
 
Au hiyo laki nne nunua chakula cha kutosha na mahitaji muhimu.

Nunua mic Weka bando la kutosha la Internet, fungua akaunti zoote unazozijua(social network)kisha uwe unajifungia chumbani asubuhi mchana mpaka usiku.

Kazi yako unaokoteza habari latest, hasa mpira na umbeya, kisha unakua unazitolea maelezo kizushi zushi kisha unazipost kwa vichwa vya habari vilivyokaa kijanja, mfano ishu ya diamond iliyotokea kenya unaeza andika hivi '' Duuuh!! Tazama diamond alivyopigwa ngumi na willy Paul"


Au hii ishu ya tundu lissu na mbowe.
Unaeza kuandika hivi, " Tundu lissu KUZIchapa na mbowe live, ccm waingilia kati kuwaamulia"
Kwa jinsi mitanganyika ilivyo mijinga haiwez kuelewa kosa ulilolifanya makusudi kwenye hiyo heading, yatafungua video fasta yaone mbowe na lissu wakipigana, yakifungua yanakutana ukisimulia habari hiyo kwamba tundu na mbowe watapambana kuwania uwenyekiti.

Hii itakuchukua muda lakini ikiboom wewe ni mwendo wa kula dola za mzungu tu

Achana kuwaza mambo uliyosomea yatakupotezea muda
Ila we jamaaa Mungu anakuona
 
Hiyo mia nne tafuta odds 3.mfano mpe simba ashinde kesho.
My frend simba akishinda tu unakua na million 1.4
 
Hapa pesa atapataje mkuu, samahani naomba kuelimishwa
Unapoingia YouTube na kuangalia video. Unakuta kabla ya video kuplay unaona kuna matangazo, ukiangalia kwa pembeni kuna neno skip. Hayo matangazo ndiyo yanafanya mtu alipwe kulingana na nchi na muda mtu atakaoangalia tangazo.
Zamani ilikuwa kufikisha subscribers 1000 na watch hours 4000 unaanza kulipwa na youtube. Sijui kwa sasa
  • Uwe na account YouTube
  • Video za kwako
Software za kuedit video, picha kwa ajili ya thumbnails n.k zinapatikana. Ni wewe na utundu wako tu. Gharama bando tu
 
Au hiyo laki nne nunua chakula cha kutosha na mahitaji muhimu.

Nunua mic Weka bando la kutosha la Internet, fungua akaunti zoote unazozijua(social network)kisha uwe unajifungia chumbani asubuhi mchana mpaka usiku.

Kazi yako unaokoteza habari latest, hasa mpira na umbeya, kisha unakua unazitolea maelezo kizushi zushi kisha unazipost kwa vichwa vya habari vilivyokaa kijanja, mfano ishu ya diamond iliyotokea kenya unaeza andika hivi '' Duuuh!! Tazama diamond alivyopigwa ngumi na willy Paul"


Au hii ishu ya tundu lissu na mbowe.
Unaeza kuandika hivi, " Tundu lissu KUZIchapa na mbowe live, ccm waingilia kati kuwaamulia"
Kwa jinsi mitanganyika ilivyo mijinga haiwez kuelewa kosa ulilolifanya makusudi kwenye hiyo heading, yatafungua video fasta yaone mbowe na lissu wakipigana, yakifungua yanakutana ukisimulia habari hiyo kwamba tundu na mbowe watapambana kuwania uwenyekiti.

Hii itakuchukua muda lakini ikiboom wewe ni mwendo wa kula dola za mzungu tu

Achana kuwaza mambo uliyosomea yatakupotezea muda
Mkuu hii si wale watu tasnia ya habari wanakusakama kwa kukosa vibali ??
Anafanyaje kukwepa mtego huo.?
 
Mwanangu huu msimu wa kilimo zama shambani, hiyo Hela ukicheza vizuri shambani unatoboa
 
Unapoingia YouTube na kuangalia video. Unakuta kabla ya video kuplay unaona kuna matangazo, ukiangalia kwa pembeni kuna neno skip. Hayo matangazo ndiyo yanafanya mtu alipwe kulingana na nchi na muda mtu atakaoangalia tangazo.
Zamani ilikuwa kufikisha subscribers 1000 na watch hours 4000 unaanza kulipwa na youtube. Sijui kwa sasa
  • Uwe na account YouTube
  • Video za kwako
Software za kuedit video, picha kwa ajili ya thumbnails n.k zinapatikana. Ni wewe na utundu wako tu. Gharama bando tu
Ooh okay sawa ahsante kwa elimu
 
Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu mwaka 2024 mwezi wa nane. Nimesoma mambo ya uhandisi wa mashine zote za Hospital, Kwasasa naishi maeneo ya Nyegezi Mwanza mtaa wa Nyamazobe. Nina kiasi cha Tshs 400, 000 (Laki nne) pamoja na laptop, naombeni msaada wa ushauri nifanye mishe gani ili niweze kujikwamua kiuchumi kwasababu naona mtaani pagumu sana. Sipendi kujiingiza katika vitendo viovu.

Nitangulize shukrani 🙏🙏
Mungu awabariki Nyote.
Tafuta hospital za serikali au binafsi ujitolee ili upate uzoefu, na kazi utapatia huko huko hiyo ni moja ya kozi ambazo ajira zake hata interview huwa hamna kutokana na uhitaji mkubwa wa wataalam wa vifaa tiba.

Ila kama hutaki kufanyia kazi elimu yako basi angalia kuna uhitaji gani wa bidhaa au huduma sehemu uliopo basi uisogeze.Mf, unaweza uza juice stand, choma mishkaki, uza popcorn au tafuta kibanda sokoni au hata ukafungua tuition centre, content creation, graphics design etc
 
Biomedical engineer , ni mtu muhimu . Kama una ndugu DSM tia kambi huku. Panga room lako. Pita katika hospitali zote na mabara binafsi ukiwa na karatasi ndogo inayokutakutambulisha wewe ni nani na unafanya ishu gani, badilishana namba na wahusika wa hivyo vituo. Weka bei zako standard na affordable kwa utengenezaji wa kila kifaa though sometimes inategemea na ukubwa wa tatizo la hicho kifaa. Kuna hospitali nyingi zinavifaa vibovu wanaamua kuviacha kununua vingine au kwa government hospital hua wanasitisha hiyo huduma kabisa mda mwengine kwa sababu ya ubovu wa vifaa lakini unaweza kua mkombozi kwao... lakini pia kuna ishu ya maintanance ambayo hufanywa kila mwaka na wengine kila baada ya miezi sita wengi hawafanyi kwa sababu ya kutokua na contacts za biomedical engineers, nakwambia uje Dar kwa sababu ndio kuna hospitali nyngi na maabara ndio usiseme . Unaweza anza na bei simple ili kupata jina na pia usilale njaa . Maana Dar kila kitu helaaa mzee. Wakati unasaka connection ya kazi hizo unaweza jichanganya katika kazi nyingine tofauti, usichague kazi as long hiyo kazi ni halali na itakuingizia kipato. ... itie akilini hii mnahitajika nyie wataalamu ila hamna platform ya consumers kuwafikia so, jipeleke mwenyewe kwa wateja wako. Kunaweza kua na typing errors utavumilia tu maana nipp job sina mda wa kurudia nilichoandika.
All the best 👍
 
Back
Top Bottom