Ushauri wa kujiunga na chama cha siasa

Ushauri wa kujiunga na chama cha siasa

Mr-Njombe

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
64
Reaction score
122
Mabibi na Mabwana, SALAMU.

Mara baada ya salamu, Mimi ni kijana wenu wa umri wa miaka 23. Ni mwenyeji wa Njombe ila kwa sasa nipo masomoni dasalama.

Sitaki uongozi wa siasa kwa sasa ila nawiwa kujifunza siasa kwenye chama ambacho kina sera nzuri, mipango mikakati bora na uelekeo sahihi ambapo naweza kuongeza uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya namna bora ya kubuni, kujenga na kutetea hoja za msingi kwaajili ya kuwatetea wananchi.

Tafadhali sana, naomba ushauri wako. Ni chama gani cha siasa Tanzania kinafaa zaidi kwa ambae hajawahi kujishughulisha na siasa kama mimi?

Samahani kwa usumbufu.

Naomba kuwasilisha.
 
Mabibi na Mabwana, SALAMU.

Mara baada ya salamu, Mimi ni kijana wenu wa umri wa miaka 23. Ni mwenyeji wa Njombe ila kwa sasa nipo masomoni dasalama.

Sitaki uongozi wa siasa kwa sasa ila nawiwa kujifunza siasa kwenye chama ambacho kina sera nzuri, mipango mikakati bora na uelekeo sahihi ambapo naweza kuongeza uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya namna bora ya kubuni, kujenga na kutetea hoja za msingi kwaajili ya kuwatetea wananchi.

Tafadhali sana, naomba ushauri wako. Ni chama gani cha siasa Tanzania kinafaa zaidi kwa ambae hajawahi kujishughulisha na siasa kama mimi?

Samahani kwa usumbufu.

Naomba kuwasilisha.
Hakuna zaidi ya CHAUMA, sera ya ubwabwa haina mbadala, huwezi kufanya siasa na watu wenye njaa kama Watanzania.
 
Kusanya sera za vyama vyote zisome, kisha endelea kujifunza kwa kuangalia mienendo ya chama tawala na mienendo ya uendeshaji wa vyama shindani kisha fanya maamuzi.
 
Back
Top Bottom