Nataka kununua photocopy machine ambayo itadumu na haitanipa shida
sijawahi kutumia na sijui nzuri ni ipi
ila ninahitaji medium size maana sina hela ya zile kubwa ninazoziona kwenye biashara za watu
naomba ushauri wenu wapendwa wa jamii forums
asanteni
Check canon iR2016, tembelea maduka ya samora pale jengo la PPF house pia na pale pembeni ya askari. Ila pale huwa wana bei sana pengine ips bulding opp na S.H amon duka linaitwa click computer