Ushauri wa kupata investors au mkopo wa kujenga appartments Kijitonyama

bigjeff

Senior Member
Joined
Oct 25, 2009
Posts
111
Reaction score
22
Wandugu habari zenu kama muonavyo kwenye picha ni viwanja viwili na kimoja kina nyumba imepangishwa ingine ndio tulikuwa tunajivuta tuimalizie lakini naona eneo hili ni zuri kama tungeviunganisha pamoja tukajenga apartment sasa kusema kweli uzoefu wahi sector bado najifunza kwahiyo ningependa wataalamu wanipe ushauri na pia tatizo kubwa ni fedha za kufanya hii project..asanteni
 

Attachments

  • WP_20150304_006[1].jpg
    223.1 KB · Views: 245
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…