Ushauri wa Kusajili Biashara

Ushauri wa Kusajili Biashara

AMARIDONG

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2010
Posts
2,501
Reaction score
185
WADAU NISHAURINI NATAKA KUFUNGUA HARDWARE NA SALOON YA KUNYOA ILA SIJUI UTARATIBU WA KUPATA VIBALI HALALI TAFADHALI WENYE UTAALAM WANISHAURI

heshima mbele
 
Mkuu hiyo hardware ni ya ukubwa gani? unakisia mauzo yako yatakuwa kiasi gani kwa mwezi kama ni ndogo na hutajihusisha na mambo ya Tender kwenye taasisi kubwa au serikalini......nafikiri Leseni na TIN inatosha.....kuhusu saloon zaidi ya leseni na TIN sidhani....ngoja tungoje wajuzi zaidi!!
 
NENDA BRELA KASAJULI JINA LA BIASHARA YAKO, gharama yake haizidi TSH 16,000/- Ukipata hiyo certificate of business registration usually zinakuwa 2 kisha nenda TRA ukachukue TIN na baada nenda manispaa/halmashauri kachukue leseni ya biashara, chukua document zako hizi nenda benk kafungue a/c kisha anza kutengeneza pesa kwa kwenda mbele mkuu.
 
Back
Top Bottom