Ushauri wa Mange kwa Wema Sepetu, Idris ageuka mbogo amjia juu

Status
Not open for further replies.
Tatizo wema mwenyewe ajielewi, anadate na vitoto, afu na yeye mwenyewe hawezi kuficha mahusiano yake
 
Kusema ukweli Diamond platnumz aka chibu dangote aliepuka tufani kubwa sana kuwahi kumkumba maishani mwake, for that he must be really thankful to his Guardian Angel. That woman is a menace to our society, she is promoting a prostitute kind of lifestyle to be seen as a decent one to our dear daughters and younger sisters. Kuoa wa aina hii ni sawa tu na gaidi anaejifunga mabomu na kujilipua.
 
Kila anaye pita kwa wema ana pita peku, kweli wema kulubembe!


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
haya mambo yanahitaji ukrazy sana
Sakata la Kuchafua watu kupitia mitandao lililofanywa na blogger Mamnge Kimambi linazidi kuingia katika hatua nyingine baada ya mtoto wa mfanyabiashara wa Zambia Lawrance Sikutwa kudai kuwa hana Account Instar-gram na familia yake kudhamiria kuchukua hatua za kisheria kwa kuchafuliwa na blogger huyo kwenye mitandao ya kijamii bila sababu yoyote ya msingi

Blogger huyo aliweka katika akaunti yake mawasiliano fake kwa jina la Salima-sikutwa akijidai kwamba ni mawasiliano yake kumbe alitengeneza akaunti fake na kujifanya kuwa ni mtoto wa Lawrance Sikutwa.

Tabia hii amekuwa nayo sana akifanya hivyo kwa watu wengi.Alishawahi ku-fake akaunti na kujifanya ni ya hoyce na anafanya hivyo kwa watu wengi. Yote haya ni ya nini?
 
hivi mtu kla cku anabadilisha wanaume tu....malaya sana huyu dada aisee af badala ya kumkemea mnasifia etii loh
 
VIPAUMBELE VYA MZEE LOWASA NADHANI BADO VINAHITAJIKA SANA ILI TAIFA LETU LISONGE MBELE
1- ELIMU
2- ELIMU
3- ELIMU

NI HAYO TUU.
 
Ndiyo nyie Mange anasema awaache maana kama ni kukaza hata dogiii anakaza. Anataka akatafute hela si kukazwa maana kukaza sawa na kula, unakula mchana na jioni njaa kibao hata huamini kama mchana ulikula. Sema wewe kama una minoti hapo ndiyo utamtuliza
 
anatakiwa akajiuze sio....yaani kuwa watu wapumbavu sijawahi ona

 

Mange kaongea point kubwa sana hapa. kazi kwako Wema
 
Nzuri ya kusoma!


http://s07.jamiiforums.com/mini/uyE8/bg_000000/txt_000000/border_000000/flags_0/
 

Ubajipinda kuandika ujumbe wote huu about kahaba wema no doubt na wewe ni Jipu
 
Ile pesa ya bba ilishaisha?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…