naona siku hizi umehamia celebrity forum, siasa zimekushinda?Hivi hawawezi kubuni namna nyingine ya kupata umaarufu au ndio fikra zimegota ceiling board tayari?
Sakata la Kuchafua watu kupitia mitandao lililofanywa na blogger Mamnge Kimambi linazidi kuingia katika hatua nyingine baada ya mtoto wa mfanyabiashara wa Zambia Lawrance Sikutwa kudai kuwa hana Account Instar-gram na familia yake kudhamiria kuchukua hatua za kisheria kwa kuchafuliwa na blogger huyo kwenye mitandao ya kijamii bila sababu yoyote ya msingihaya mambo yanahitaji ukrazy sana
hahaha sijui kwaninni mungu asiingilie kati kuvu kazi ya taifa inateketeaajabu sana hata huyo Idrisoo wa kike tu...how can you date a hoe....mwenye marafiki ma hoe ama huyu mang
hivi mtu kla cku anabadilisha wanaume tu....malaya sana huyu dada aisee af badala ya kumkemea mnasifia etii lohkufuatia wema sepetu kutoka na mkongo na picha zake kuzagaa mtandaoni siku chache baada ya kupoteza ujauzito wake kitendo kilichopelekea mpenzi wake idriss sultan kuanza kurusha vijembe snapchat.
mwanamama mange kimambi ameamua kumpa ushauri Wema Sepetu ushauri ambao haukumfurahisha idriss na kuamua kujibu mapigo.
“I think wote mshaona balaa la Idris na Wema huko snap chat. Idris ndo alieanza vijembe mwishowe Wema kamjibu Kwa kusema kwani alimuomba msamaha mpaka aseme it’s too late to say sorry?!Aibu tupu,” ameandika Mange.
“ Anyways Jana niliweka posti kuhusu what kind of men Wema awa date mkanitukanaaaaa weeee, Sasa kiko wapi? This is what I was talking about niliposema she needs to stay away from these young guys wanaoshinda kwenye social media. Angekuwa ni Mtu mzima mwenye heshma zake angefanya yote haya??”
“Kwako Idris, ni aibu mtoto wa kiume kuchambana Na mwanamke kwenye social media. Kuwa na kifua. Mbona mwenzio Diamond alijikaza kiume akaenda tafuta mwingine. No need for drama. Jikaze, ibuka na demu mwingine and life goes on!
Heshma ya mwanaume Ni hela tu nothing else. Kama huna usitake Kudate top girls, La sivyo utasumbuliwa tu! Wengine ooooh Mwambie Wema atafute chake, look around most women wenye pesa zao wako single Mnadhani hawatongozwi?
Tatizo wanatongozwa na wanaume ambao wako chini Yao, imagine mwanamke ana hela zake still hataki mwanaume ambae hana mahela.That’s why most successful women are single! Mwanamke hata awe billionaire still anataka mwanaume aliemzidi la sivyo mwanaume atakuwa anachapwa vibao Kila siku humo ndani!
Wema hope you learnt something here. Take your time this time. Stay single for a while! And when you date date someone very different from you! Hajui hata Instagram ndo nini, Tycoon flani hivi! Kina Dangote ( The real one), joyyuko down low , hakuna Mtu anamjua, ule bata Kama enzi zile,” ameongeza.
“Hawa Watoto wenzio wa social media hapana aiseee! Ona sasa nini Hiki! . Wema is a stunning woman! ni nini anahangaika na vitoto wakati anaweza kuishi maisha ya umadam kama kina Klyn na kina Faraja.
Atatafuta chake huko huko mbele Kwa mbele, Tena Hana baggage ya Watoto! Yani she can pull any man anytime! She needs to know her worth! . Wema naomba tusisikie ever again boyfriend wako ni Nani!”
Idris uzalendo umemshinda, na ameamua kujibu:
Umeangalia yooote kisha ukaona tu ni Idris ndio tatizo alianza vijembe. Hukuona picha zinazotambaa mtandaoni ? Hujui mi na yeye tumeongea nini ?
Hamuongelei suala lililopo wazi la udhalilishaji niliofanyiwa mimi mnaona kijembe cha its too late to say sorry kuni-judge. Kuna kitu kinaitwa stating the facts na kuna kuchambana i stated facts snapchat na sikuongea kibaya zaidi nilisema “Am walking away with my self respect this is class” kichambo hapo kipo wapi au ni kupotosha umma.
Times have change and so should all of us. Situation yote imetokea hujasema hata “Wema zile picha umekosea or Wema fanya kuomba radhi” ila umenikomalia Idris mdogo vijana wa lakilaki hawa katafute manager wa benki ma don na tajiri utulie. Kwamba nafaidika nini hasa ?
I came in this relationship with my fame and respect na influence. Haya sasa apate huyo manager leo kesho na keshokutwa jamaa kafilisika ya mungu mengi, inabidi umshauri atafute manager mwingine ? Atabadilisha wangapi ?
Matajiri wangapi from bill gates to Ghalib wa hapa Tanzania wamesota na wake zao wakiwa wana elfu mbili mfukoni sasaivi they are unbreakable. Badala mumshauri Wema akazanie biashara zake na kazi zake mnamuambia atafute matajiri wamlelee.
You are grown women and you know maturity is about the mindset and how you think and speak sio umri.
Nilisubiri nitulie kidogo nisijibu wakati nina presha presha nisingependa kukukosea hata kidogo maana nisingeweza lifuta. I respect you so much and you know it. God bless you.”
Mange aliamua kuwa mpole na kumjibu Idris:
@idrissultan Nimekuelewa mdogo wangu.Im sorry kama nilikuumiza! Mapenzi issue nyingine I can’t imagine how you feel!! Yes nimemkanya mnooooo about the photos ndo Maana Kasema hataki tena mambo ya picha! I’m sure uliona pia I was against everything that happened.
Problem is @idrissultan most people huwa wana deal Na matokeo au symptoms instead of chanzo. You are smart, whatever happened, the photos etc chanzo ni nini?
That’s the millionaire dollar question, CHANZO! Ushauri wangu ulitokana na kuzingatia chanzo cha Tatizo Na sio Picha zilizokuwa zinafunguka. You know too!
Anyways mimi niliongea tu mwisho wa siku Wema always does what she wants, kama anataka kurudi kwako atarudi tu Na Kama kaamua kumove on ata move on.
What I said really has no bearing on her decision! Again I’m sorry , I didnt mean to offend you…”
Ndiyo nyie Mange anasema awaache maana kama ni kukaza hata dogiii anakaza. Anataka akatafute hela si kukazwa maana kukaza sawa na kula, unakula mchana na jioni njaa kibao hata huamini kama mchana ulikula. Sema wewe kama una minoti hapo ndiyo utamtulizaMi nilisha sema huyo wema hajapata kidume cha mbegu,aachane na hao mabishololo wa instagram na bongo fleva wanapiga show kibitozi bitozi ndo mana wema hatulii,aje kwa chinga nimkaze kisawa sawa tuone kama hatotulia......haya mambo yana wenyewe bana na wenyewe tumetulia tuliiiii!!!!
Ndiyo nyie Mange anasema awaache maana kama ni kukaza hata dogiii anakaza. Anataka akatafute hela si kukazwa maana kukaza sawa na kula, unakula mchana na jioni njaa kibao hata huamini kama mchana ulikula. Sema wewe kama una minoti hapo ndiyo utamtuliza
Anyways Jana niliweka posti kuhusu what kind of men Wema awa date mkanitukanaaaaa weeee, Sasa kiko wapi? This is what I was talking about niliposema she needs to stay away from these young guys wanaoshinda kwenye social media. Angekuwa ni Mtu mzima mwenye heshma zake angefanya yote haya??”
I have friends kama ndugu, nina ndugu, nina familia na nawapenda kupita maelezo. But I won't tolerate anyone close to me who will speak shit about my man publicly. Kila mtu ana uhuru wa kunishauri but asinishauri kwenye social networks afu on top aandike as if my man doesn't deserve me, kisa nini eti hana hela. Hata angekuwa na madhaifu gani, wewe yamekukuta yapi hadi ukayaandike kwa watu, hivi kesho na kesho kutwa wamerudiana utaweka wapi sura yako total bs. (Hili nimeliongelea tu generally whether mtu ni celebrity or not)
From mwanzoni Mange nahisi didn't want wema to date idris kwa sababu tu idris hana hela. Anataka Wema adate billionaires, MDs huko na watu wakubwa wakubwa. Swali ni je na hao wenye mahela yao wanamtaka Wema? Hivi mtu akidate na mtu maskini na yeye mwenyewe akawa ameridhika naye, wewe mwingine kinakusumbua nini? Wanakujaga kukuomba hela ya mboga? Acheni watu na mapenzi yao, kwani wema hajaona wanaume wengine? akichoka ataondoka mwenyewe. Kama kudate maskini ni dhambi basi please Jitahidi wewe binafsi hiyo dhambi ikuepuke. Acha wengine hiyo dhambi iwakute
Afu kusema eti Wema adate watu wasio na muda na social networks, mbona doesn't make any difference to wema. Hivi CK alikuwepo insta, sisi tulikuwa tunamjua? Lakini Wema mwenyewe ndo alimleta kwenye spotlight. Possibly kuna watu wazito wanampenda Wema lakini inabidi tu wajikaze maana ukimdate tu Wema basi jiandae kutokea kwa shigongo, hukawii kutumbuliwa jibu teh. Watu wana careers zao, wana reputations zao, nani atataka ziwe at risk kisa Wema. Wema anendana vizuri tu na celebrities wenzie Atleast kwa sasa
Kila siku namshukuru Mungu kwa ajili ya watu loyal alionipa na Naendelea kumuomba anipe na wengine zaidi. Ila kama wakiisha basi please please asinipe mtu loyal kama Mange alivyo kwa Wema (naapreciate sana upendo wa Mange kwa Wema na jinsi anavyofight kwa ajili yake). But that's not loyalty, Mange ikifika kwa Wema ni kama anakuwa blind. Hata kama namba ipo wazi ni 1 kwa wema atasema ni namba 3. Loyalty ni kusimama kwenye ukweli kwa ajili ya mtu na pale akikosea unamchana vizuri tu kwamba "wewe pale umezingua bana". Yeye furaha yake ni kumuona tu Wema anakula bata (ni vizuri of course), but atakula bata kwa migongo ya wanaume hadi lini? Kwa nini asimshauri kufanya investments zake jamani.
Idris is a very young boy, ana drama sometimes ana utoto utoto.. but idris has maturity, ana vision, he is determined... he is a gentleman in the making. Inshallah atafika mbali na vitege vyake lol.
(Sio kwa huu mgazeti... Mange please usinichambe teh teh)
Ile pesa ya bba ilishaisha?I have friends kama ndugu, nina ndugu, nina familia na nawapenda kupita maelezo. But I won't tolerate anyone close to me who will speak shit about my man publicly. Kila mtu ana uhuru wa kunishauri but asinishauri kwenye social networks afu on top aandike as if my man doesn't deserve me, kisa nini eti hana hela. Hata angekuwa na madhaifu gani, wewe yamekukuta yapi hadi ukayaandike kwa watu, hivi kesho na kesho kutwa wamerudiana utaweka wapi sura yako total bs. (Hili nimeliongelea tu generally whether mtu ni celebrity or not)
From mwanzoni Mange nahisi didn't want wema to date idris kwa sababu tu idris hana hela. Anataka Wema adate billionaires, MDs huko na watu wakubwa wakubwa. Swali ni je na hao wenye mahela yao wanamtaka Wema? Hivi mtu akidate na mtu maskini na yeye mwenyewe akawa ameridhika naye, wewe mwingine kinakusumbua nini? Wanakujaga kukuomba hela ya mboga? Acheni watu na mapenzi yao, kwani wema hajaona wanaume wengine? akichoka ataondoka mwenyewe. Kama kudate maskini ni dhambi basi please Jitahidi wewe binafsi hiyo dhambi ikuepuke. Acha wengine hiyo dhambi iwakute
Afu kusema eti Wema adate watu wasio na muda na social networks, mbona doesn't make any difference to wema. Hivi CK alikuwepo insta, sisi tulikuwa tunamjua? Lakini Wema mwenyewe ndo alimleta kwenye spotlight. Possibly kuna watu wazito wanampenda Wema lakini inabidi tu wajikaze maana ukimdate tu Wema basi jiandae kutokea kwa shigongo, hukawii kutumbuliwa jibu teh. Watu wana careers zao, wana reputations zao, nani atataka ziwe at risk kisa Wema. Wema anendana vizuri tu na celebrities wenzie Atleast kwa sasa
Kila siku namshukuru Mungu kwa ajili ya watu loyal alionipa na Naendelea kumuomba anipe na wengine zaidi. Ila kama wakiisha basi please please asinipe mtu loyal kama Mange alivyo kwa Wema (naapreciate sana upendo wa Mange kwa Wema na jinsi anavyofight kwa ajili yake). But that's not loyalty, Mange ikifika kwa Wema ni kama anakuwa blind. Hata kama namba ipo wazi ni 1 kwa wema atasema ni namba 3. Loyalty ni kusimama kwenye ukweli kwa ajili ya mtu na pale akikosea unamchana vizuri tu kwamba "wewe pale umezingua bana". Yeye furaha yake ni kumuona tu Wema anakula bata (ni vizuri of course), but atakula bata kwa migongo ya wanaume hadi lini? Kwa nini asimshauri kufanya investments zake jamani.
Idris is a very young boy, ana drama sometimes ana utoto utoto.. but idris has maturity, ana vision, he is determined... he is a gentleman in the making. Inshallah atafika mbali na vitege vyake lol.
(Sio kwa huu mgazeti... Mange please usinichambe teh teh)
Mmh Sijui mwayaIle pesa ya bba ilishaisha?
Chillax. ...Ubajipinda kuandika ujumbe wote huu about kahaba wema no doubt na wewe ni Jipu
Asipojiuza atakula nini? Unajua kazi yake au ushafika ofisini kwake?anatakiwa akajiuze sio....yaani kuwa watu wapumbavu sijawahi ona
That's a million dollar questionHivi hawawezi kubuni namna nyingine ya kupata umaarufu au ndio fikra zimegota ceiling board tayari?