Mke wangu alikuwa na tatizo kama hili. Alifanyiwa operation Agakhan na Dr. Shafik. Tuna mtoto mmoja na tunategemea wa pili mwakani mwezi wa tatu.
ahsante wadau kwa ushauri operation agakhan ilikugarim na vipimo kama sh.ngapi tuenda tumejipanga kama dr atamua hivyo tuwe tayari kabisa
wadau mke wangu ana tatizo hilo la pcos ametumia dawa mpaka basi toka kariuki,hindul mandal,regency .naomba aliye na udhoefu na hili tatizo na anayemjua Dr mzuri atupe msaada na je operation ndio tiba pekee ya ugonjwa huu wengi wametushauri hivyo.....
Hindu mandal mlimuona dr Kocher(yule mbibi)???mi alshawah nitibu bt vilikua vidogo sana akanipa dawa..