Yaani hizi taasisi za kitapeli na wizi wa kuongezea watu umaskini mbona zimeibuka kwa kasi siku hizi.
Yaani huyo unaweza kukuta ndio mjanja wa Ofisi halafu anaweka tangazo kama mtoto wa chekechekea.
Email account yenyewe ya mtaani.
Wewe mwenyewe unatakiwa ushauriwe kuhusu namna ya kufanya biashara,halafu utamshauri mtu vipi.
Hembu kuweni makini,msiangalie tu pesa,ndio maana wengi wenye kuanzisha hiz Micro finances na wadau wao kwa lengo la kuwapiga wenzo kwa riba za ujanja ujanja mwisho wake unasikia mara alikuwa anaumwa sukari,mara presha,mara figo limefeli,mara cancer, kumbe ni Laana.Pato halibariki hata utoe sadaka kila siku