Ushauri wa msingi kwa waliooa tu


I see you and I are in different worlds.na sitegemei kuna mtu ana access ya internet full time anaweza kuwa na mama anayesafiri kwa sandurusi unless kama unataka kuchafua hali ya hewa hapa. in fact ukisoma post yangu vizuri utagundua am not speaking to men of the character you have put here. naongea na rafiki ambao wanawapenda sana wake zao,wanapenda ile sanaaaaaaaa lakini tatizo wanaamini kwamba wanawake zao wanatakiwa kuridhika kwa sababu wanawapatia all materials on offer in this world kama ishara ya kipimo cha mapenzi yao kwao. Hawa ndio nawakumbusha kupiga kazi ya kiutu uzima nyumbani, wife akishindwa kuamka next day hiyo ni issue ingine, lakini nauhakika ikifika mchana atamtumia jamaa sms "Darling, Jana umeniweza unajua ndo naamka saa hizi, wahi basi kurudi nyumbani leo mpenzi wangu naenda sokoni muda si mrefu, ntakuandalia chakula kitamuuuuu" na sms isipojibiwa in two minutes unapigiwa simu sasa
 
kupenda sio kubaya wala sikuzuri maana unaweza ukawa mwehu tuajaribu kufikiria kwa ndani zaidi wala si ngono
 
Ukiwa na maana kuwa niache mambo yote ili niwe juu tu? Naogopa kuitwa mtowa maji! Halafu nikishapata watoto si nitafute dada powa ninapojisikia kuchapa? Nahisi kama msingi wa ndowa ni michapano tu basi kwanini nisiwe huru wa kwenda kuchagua aina hii leo, kesho nyeupe, keshokutwa ya ku... .?
 

I'm itching kuuliza umri wako, but I won't
Huamini mjini watu wanaweka heshima bar na kwenye vikao vya harusi huku wazazi wao wanalala kwenye nyumbani ya Tope na ukiwa ndani unachungulia nje? Worse enough wengine hawalipi hata Ada za watoto wao na huku wan a-claim kuwapenda watoto wao Kama lulu? Hii hata wanaume wenzio watashuhudia.

Kuna mianaume sarawili, anaingia na kutoka, anakula na kulala Kama keshalipiwa guest. Hajui Kodi ya nyumbani AMA nyumbani yenyewe kajenga nani, wanae wanasomaje, mke anaishije, na wanakula chakula kutoka wapi. Hujawahi kusimuliwa manake rafiki zako hawawezi kukusimulia. Sasa mwanaume wa hivyo hata kumpa kimoko ni kero, unawaza Dili zako hadi amalize kukukirihisha
 
Jamani wanaume mjitahidi muwe mnawafikisha kileleni wake zenu hata kama ni kimoja atarizika tu

Kabisa. Hujakosea Bosco, maana unaweza piga hivyo vitatu lakini visiwe na tija, kimoja tu hata mie ukinifikisha mwisho wa mlima basaaaaaaaaaaaasi.
 

Unazungumzia Ma maliyoo nini?
 

Najua ndo inahusisha mambo mengi sana, naomba ukumbuke kwamba ngono ndio kitu pekee ambacho mtu aliyendani ya ndoa hatakiwi kushiriki na mtu mwingine, hainiingii akili kuona watu wanajaribu kuunderestimate value ya ngono kwenye ndoa!! au kwa sababu tumekua tunaambiwa ni dhambi?

Ukweli ni kwamba NDOA NI NGONO. NGONO NJE YA NDOA NI DHAMBI, NA DHAMBI NDIO KIINI CHA MAUTI, NGONO WAS MEANT FOR MARRIAGE JAMANI, HAKUNA NGONO HAKUNA NDOA. Ndio maana hata Mwenyezi Mungu aliwaambia ADAMU NA HAWA (Alituambia sisi) tukaongezeke na kuijaza duni, kuzaa na ngono na chanda na Pete. wanandoa wote naomba tufanye ngono na wake zetu kwa raha na furaha.
 
sangarara ameongea la maaana sana ngono kwenye ndoa ndio shina mengine matawi tu na wototo ni matunda tunayoyapata toka kwenye hiyo ngono hivi jamani wazazi wangu wamenilea wamenipa kila kitu kuanzia elimu, chakula, malazi yote natoka kwetu naolewa naenda kuishi kwa mume nafuata nini kule kwa mume? Chakula? Nafuta mshedede ambao wazazi wangu hawawezi kunipa
 

Kabla ya kuendelea mbele kwanza nikusahihishe hili neno ngono. Ngono ni negative side ya tendo la ndowa. Ngono ni tendo la ndowa lililofanywa nje ya ndowa na ndio maana tunapata neno ugoni na mgoni (kukamatwa ugoni na kumuona mgoni wake yaani aliemchukulia mtu wake wa ndowa.
Tukija kwenye hoja tendo la ndowa ni moja kati ya mambo yanayohusu kufanyiana ndani ya ndowa. Hiki kitendo cha kuingiliana kimeitwa tendo la ndowa kwa sababu ya mila zetu kuficha mambo ya matusi. Hiki kitendo huwezi kusema kuwa ndio kitu pekee ndani ya ndowa kwani hata ufanye hilo tendo la ndowa kuna mambo mengi ikiwamo mahusiano na mapenzi ndani yenu vitu vitakavyopelekea pande zote kuridhika navyo. Na hata hivyo bado watu hubaki na ndowa zao iwapo kuna kasoro ya kutoweza kufanyika hilo tendo la ndowa.
 

Asante kwa masahihisho mkuu.
Lakini naona na wewe umeingia kwenye mkumbo wa kuunderestimate umuhimu wa sex katika ndoa. Niseme kwa kifupi tu, hayo mambo mengine yooooote yahusianayo na Familia hayawezi kustawi kama sexing inamiss. Sitegemei mtu akabadili ufahamu huu nilionao.

Moja ya experience yangu katika ndoa kwa mfano, inapotokea wife amekuwa na matumizi makubwa ya pesa kiasi cha kushindwa kuelezea exactly ametumia kwenye nini na kutusababishia kuingia kwenye mtafaruku, na vijimambo vingine inaweza kusababisha mawasiliano baina yetu yakaharabika kabisa kabisa hata kwa wiki nzima lakini ikitokea tuka DO. Huo ujinga wote unakwisha immedietly. usipime bwana.
 

Naam hilo tendo la ndowa umeshakubali kuwa linanoga pale panapo mawasiliano mazuri, hivyo huoni kuwa uhusiano mzuri ndani ya ndowa una umuhimu zaidi kuliko huko kudo? Uhusiano mwema ndani ya ndowa inabidi uwepo kila siku lakini tendo la ndowa ni kitu cha muafaka yaani mpaka hali iruhusu ndipo lifanyike.
Bado kuna ndowa nyingi ambazo kwa sababu moja au nyengine tendo la ndowa linakuwa na vikwazo lakini wawili wanapoelewana ndowa zinadumu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…