Ushauri wa Shamsa Ford kwa mastaa wa kike nchini, baada ya Zari kulamba dili nono

Wadada msilie kwani misambwanda yenu hailipi???
Mbona like na coment insta. Ni za kutosha tyuu vip haziwatoshi tuwaongezee??

Ukiwekeza kichwani utapata vya kuwekeza kichwani ukiwekeza kwenye msambwanda napo utapata sawa sawa na ulichowekeza
 
Point maana kuna mastaa walishapewa ubalozi flan hivi wakazingua,hawajui umuhimu wa kuwahi miadi,masharti kibao,ubalozi tu anataka gari,bodyguard,ofisi nakadhalika.

Haya apewe huo ubalozi atapiga picha mia kabla ya kwenda kwenye shughuli na baada ya shughuli kisha atazimwaga mtandaon huku akisifia anzia mpaka make up,muuza weaving,muuza nguo,mpaka kucha rangi,mpiga picha vijembe vingi kwa haters,huku akisahau kama anatangaza bidhaa husika
 
Watajijua wenyewe tukiwaambia wahijishughulishe na kupiga shule ya kutosha wabishi na mitusi juu
 
Kama yule aliyekuwa anaogelea kwenye swimming pool ajielewi na hakui kabisa.

Kupatana na Mond basi roho yake imesuuzika kabisa na anaona kashamaliza kila kitu.
 
Akili zao ziko makaioni kujishebedua na kuwekeza kwenye kuonyesha maungo yao tu. Tz huwezi kuwa star kama huna mk mzuri au hujaonyesha k yako
 
Hao mnaowait 'mastaa' hapa bongo wengi akili zao ziko kwenye makalio tu, bora umefunguka kuwaambia ukweli wenzio
 
ELIMU
ELIMU
ELIMU

Waachane na siasa tofauti na hapo wacha waendelee kusungua bench
 
Mwisho wa siku hii ni biashara. Mfanyabiashara siku zote anatafuta pesa, Zari anamvuto wa Pesa, status yake sio ya wakaa uchi ili wapewe laki.....

Jengeni umaarufu wenye heshima na mjiweke mbali na siasa mtapata deals kubwa kubwa.

Zari endelea kuwanyooooooosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…