Unajua ugumu wa kulea teenager Boss? Hakuna cha freedom wala nini; teenagers ni headache na mkiwa wawili inasaidia; mfano baba ni ngumu kumjua vyema binti yake. Kwa kweli sisi tulilelewa na Mungu; Hata baba anatusifu kwani hakuwa na uhakika kama ataweza kutulea salama.
mbona wadada wameuchuna humu?kuhusu suala la talaka.kuandika humu ni rahisi kuliko kutekeleza,ukishakuwa katika hiyo position ndio unaelewa zaidi,kwanza jamii yetu talaka ni kama taboo fulani{ila kwa watu wa pwani ni kama tofauti}pili utegemezi unakufanya mtu bora ubaki hapo hapo. na mara nyingi mkiachana lawama zinamuangukia mwanamke,jambo jengine mali,pengine mmechuma wote na wote mmekuwa watu wazima,unaona bora tubanane hapa hapa
mbona wadada wameuchuna humu?kuhusu suala la talaka.kuandika humu ni rahisi kuliko kutekeleza,ukishakuwa katika hiyo position ndio unaelewa zaidi,kwanza jamii yetu talaka ni kama taboo fulani{ila kwa watu wa pwani ni kama tofauti}pili utegemezi unakufanya mtu bora ubaki hapo hapo. na mara nyingi mkiachana lawama zinamuangukia mwanamke,jambo jengine mali,pengine mmechuma wote na wote mmekuwa watu wazima,unaona bora tubanane hapa hapa
wadada inabidi wauchune tu
talaka ni taboo hata kuizungumzia...its funny....
Divorce si matter of two couples tu watoto wanafanya maamuzi kuwa magumu sana.
If children live with criticism, they learn to condemn.
If children live with hostility, they learn to fight.
If children live with fear, they learn to be apprehensive.
If children live with pity, they learn to feel sorry for themselves.
If children live with ridicule, they learn to feel shy.
If children live with jealousy, they learn to feel envy.
If children live with shame, they learn to feel guilty.
If children live with encouragement, they learn confidence.
If children live with tolerance, they learn patience.
If children live with praise, they learn appreciation.
If children live with acceptance, they learn to love.
If children live with approval, they learn to like themselves.
If children live with recognition, they learn it is good to have a goal.
If children live with sharing, they learn generosity.
If children live with honesty, they learn truthfulness.
If children live with fairness, they learn justice.
If children live with kindness and consideration, they learn respect.
If children live with security, they learn to have faith in themselves and in those about them.
If children live with friendliness, they learn the world is a nice place in which to live.
Ndiyo maana Mwanakijiji alileta mada humu kuhusu kulegezwa kwa sheria ya ndoa na talaka na nikajikuta niko peke yangu kutetea ulegezwaji huo....kitu ambacho nimezoea anyway!
mbona wadada wameuchuna humu?kuhusu suala la talaka.kuandika humu ni rahisi kuliko kutekeleza,ukishakuwa katika hiyo position ndio unaelewa zaidi,kwanza jamii yetu talaka ni kama taboo fulani{ila kwa watu wa pwani ni kama tofauti}pili utegemezi unakufanya mtu bora ubaki hapo hapo. na mara nyingi mkiachana lawama zinamuangukia mwanamke,jambo jengine mali,pengine mmechuma wote na wote mmekuwa watu wazima,unaona bora tubanane hapa hapa
Kwa taarifa yako watoto wanaathirika zaidi wakiwa kwenye mji ambao baba na mama hawaelewani. Kumbuka children learn what they live!
Courtesy of Dorothy Law Nolte, Ph.D.
]mbona wadada wameuchuna humu?kuhusu suala la talaka.[/B]kuandika humu ni rahisi kuliko kutekeleza,ukishakuwa katika hiyo position ndio unaelewa zaidi,kwanza jamii yetu talaka ni kama taboo fulani{ila kwa watu wa pwani ni kama tofauti}pili utegemezi unakufanya mtu bora ubaki hapo hapo. na mara nyingi mkiachana lawama zinamuangukia mwanamke,jambo jengine mali,pengine mmechuma wote na wote mmekuwa watu wazima,unaona bora tubanane hapa hapa
Can a single parent offer all that? Ukizingatia kuwa ukiwa single unabidi u double utafutaji wa pesa kwa ajili ya watoto; will you have time to show love to your kids au unalea kijeshi jeshi mradi unaprovide basi?
Can a single parent offer all that? Ukizingatia kuwa ukiwa single unabidi u double utafutaji wa pesa kwa ajili ya watoto; will you have time to show love to your kids au unalea kijeshi jeshi mradi unaprovide basi?
The answer is a resounding YES and I am living proof of it!
usisahau watu hawawi single parent by choice
inabidi iwe hivyo kwa kuwa 'ndoa'
imeshindikana
Collin Powel,Obama na wengi wengineo wametoka kwenye single parent
usisahau watu hawawi single parent by choice
inabidi iwe hivyo kwa kuwa 'ndoa'
imeshindikana
Collin Powel,Obama na wengi wengineo wametoka kwenye single parent
Sasa hapo Boss unarudi kwenye swala la msingi; Divorce si Best Option; ila tu watu wafanyeje.
NN unaweza kuwa ni among few exceptions; wengi wanaishia kuwa depressed kwa burden ya kuwa single parents.
Kati ya kupigwa kila mara, kusimangwa, na kutendwa vibaya kusiko maelezo na talaka, wewe utachagua nini?
sio kweli..
mimi mwenyewe wazazi wameachana nipo college na mpaka leo naona
it was better kuliko wangeendelea pamoja,ingawa mdingi alituchunia pesa za ada na kadhalika
but home ilirudi kuwa ya peace zaidi.....
Nachagua kuilinda ndoa yangu na kutoruhusu mabadiliko yafikie huko kote unakosema.
Kama tulianza na penzi nina challenge ya kulilinda hilo penzi for me and my kids.