Ushauri wa talaka kwa wanawake ............

Boss wewe unaongelea college; college mtu mzima kabisa; mimi naongelea watoto wadogo a.k.a. malaika.

nilikuwa na wadogo zangu wako sekondari
but still wote tuliona 'ilikuwa better wameachana'
 
Sasa hapo Boss unarudi kwenye swala la msingi; Divorce si Best Option; ila tu watu wafanyeje.

hakuna anaesema 'divorce ni best option'
tunachosema ni one of the options na sometimes ni better option...
 
Na ukimuangalia Obama unadhani anaweza rudia mistake ya wazazi wake au ata protect ndoa yake at any cost??? Anajua utamu wa divorce na nina imani atakuwa best husband.

hatusemi watu wachukulie ndoa kiurahisi na wa divorce wakijisikia
huyo Obama yote anayoyafanya ni poa tu
but Michelle hawezi kusema 'no divorce by any means neccessary kama mnavyosema nyinyi...
Michelle akiona ni ngumu atam divorce Obama fast regardless ya watoto
 
Can a single parent offer all that? Ukizingatia kuwa ukiwa single unabidi u double utafutaji wa pesa kwa ajili ya watoto; will you have time to show love to your kids au unalea kijeshi jeshi mradi unaprovide basi?

as single parent malezi yanakuwa magumu kwa vile hakutakuwa na mtu ambaye atasaidia kukurekebisha pindi utakapowapeleka isivyo katika malezi.. na pia utakuwa na hasira au kisirani itapelekea kuwaburuza watoto na si kuwapa malezi sahihi
 
as single parent malezi yanakuwa magumu kwa vile hakutakuwa na mtu ambaye atasaidia kukurekebisha pindi utakapowapeleka isivyo katika malezi.. na pia utakuwa na hasira au kisirani itapelekea kuwaburuza watoto na si kuwapa malezi sahihi

kisirani cha nini?
wapo wababa wanatoa huduma na kuzungumza vizuri tu na ma x wife wao
 
Tena hasa wamama; unaweza sikia "msinisumbue ntawarudisha kwa baba yenu mama yenu wa kambo hawanyooshe" Hapo ameombwa ela; hana au amepika dagaa watoto wamegoma kula.

Hayo ndio malezi kwa watoto?

as single parent malezi yanakuwa magumu kwa vile hakutakuwa na mtu ambaye atasaidia kukurekebisha pindi utakapowapeleka isivyo katika malezi.. na pia utakuwa na hasira au kisirani itapelekea kuwaburuza watoto na si kuwapa malezi sahihi
 
kisirani cha nini?
wapo wababa wanatoa huduma na kuzungumza vizuri tu na ma x wife wao

ni kweli lakini inatokana na madhara walivyoachana, na hasa mama akiwa mwelewa
 
Tena hasa wamama; unaweza sikia "msinisumbue ntawarudisha kwa baba yenu mama yenu wa kambo hawanyooshe" Hapo ameombwa ela; hana au amepika dagaa watoto wamegoma kula.

Hayo ndio malezi kwa watoto?

kuna wengine wanatumia watoto kama kuwanyanya wenza wao , mfano kupandikiza chuki kwa watoto ili waone upande wa pili una tatizo au umewatelekeza lakini hii inatoka na kiburi na dharau cha mmoja wapo
 
Kutokana na ugumu wa maisha na fact kwamba wengi hawaachani kwa wema; ni very rare na narudia very rare kwa wababa kutunza watoto baada ya divorce unless umwachie hao watoto.

Sisi baba aliendelea kutulea kwa kuwa hatukwenda popote; but am sure tungeenda kukaa na mama tusingeambulia hata senti tano.

Huwa kuna ka ushindani fulani baada ya divorce; ukijidai kuchukua watoto jua fika mwanaume ni ngumu kutuma ela ya matunzo ili ushindwe akwambie lete wanangu.

kisirani cha nini?
wapo wababa wanatoa huduma na kuzungumza vizuri tu na ma x wife wao
 
Na hapo ndipo watoto wanapoharibika maana wanakuwa hawana heshima kwa wazazi unategemea wataheshimu watu baki?

kuna wengine wanatumia watoto kama kuwanyanya wenza wao , mfano kupandikiza chuki kwa watoto ili waone upande wa pili una tatizo au umewatelekeza lakini hii inatoka na kiburi na dharau cha mmoja wapo
 

mnatakiwa kufundishana kuibadili hiyo mentality
hao wanaume wamezaliwa na nani?si akina mama?
mbona nchi nyingi wameweza mpaka sharti la mwanaume kuhama nyumba
na kumwachia mkewe na watoto na huku akitoa matumizi..
tena nchi za kiarabu zenye mfumo dume pia????
watu wakielimishwa wanabadilika kuliko kuambiana 'vumilia mateso'
mbona mengine mnahamasishana?????/
 

nadhani sisi sheria zetu haziko wazi sana na wengi hawaelewi zinasemaje zaidi ya mawazo binafsi ya mtu au kundi la watu .. maana wenzetu wanaelewa nini jukumu lao na wanalifanya kwa upendo kwa vile hawapendi kupelekwa kwenye sheria
 
nadhani sisi sheria zetu haziko wazi sana na wengi hawaelewi zinasemaje zaidi ya mawazo binafsi ya mtu au kundi la watu .. maana wenzetu wanaelewa nini jukumu lao na wanalifanya kwa upendo kwa vile hawapendi kupelekwa kwenye sheria

two wrongs do not make it right

sheria ziwepo ama zisiwepo haihalilishi mtu kuambiwa 'avumilie mateso'
ni bora wote tukapigania sheria bora zitakazo mlinda mwanamke na watoto bila kumuonea
mwanaume zipitishwe
kuliko kuambiana 'ndoa ni msalaba wako'.....ujinga huu tuupige vita
 

hii ni athari kubwa hasa ya mfumo dume, na kwa sasa hakuna uvumilivu tena ukienda kwenye vituo vidogo vya police kuna kesi nyingi sana za ndoa zinazohusisha unyanyasaji.. na kwa sisi wanaume tatizo kubwa tunaamini kwa kuwasusia wamama watoto ni kuwakomoa lakini kumbe tunawanyima haki za msingi watoto
 
Mkuu halafu unajua Bongo ku-divorce ni ishu sana tena especially kwa mwanamke

ni ishu kwa kuwa hawataki hata kuzungumza kuhusu divorce
wanajiangusha wenyewe,mijadala kama hii hawataki kabisa kushiriki
sheria zipo hawazijui.....wenzao haki sawa na kupiga vita mfumo dume
zinahusu mno masuala ya divorce.......wao wanaambiana tu 'vumilia'
 

wanaume tunaweza kuanza kuelimishana
ukiona mwanaume mwenzio 'anamletea ligi ex wife wake'
muelimishe tu sana....
tuwachukulie wanawake kama ambavyo tungependa
mama zetu na dada zetu wawe treated.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…