be unique
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,381
- 2,287
Habari zenu wanaJF,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo, mimi ni kijana mdogo nina kama miaka 22 nimefanikiwa kusoma mpaka cert ya procurement & supply.
Lakini katika kusoma kwangu nimesoma kwa shida sana sina maana kwamba ada haikupatikana la hasha bali ni uwezo wangu kimasomo sio mzuri kufaulu mpka nitumie nguvu ya ziada.
Ushauri wangu hapa ni kwamba nikisema niendelee na diploma natakiwa kusoma masomo ya nabe ambayo ni mwaka mzima hli kuweka cheti changu sawa na hapo bado naweza nikafeli.
Kitu ambacho nilitaka kuomba ushauri ni kwamba nimefikiria kujiusisha na biashara maana mtaji naona sio shida kwa sababu ndugu zangu ni watu wenye uwezo wastan ambao hawashindwi kunisaidia maana nimeona shule kama namalza ada za wazazi bila sababu maalumu.
Natanguliza shukran naomba ushauri kwa hili.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo, mimi ni kijana mdogo nina kama miaka 22 nimefanikiwa kusoma mpaka cert ya procurement & supply.
Lakini katika kusoma kwangu nimesoma kwa shida sana sina maana kwamba ada haikupatikana la hasha bali ni uwezo wangu kimasomo sio mzuri kufaulu mpka nitumie nguvu ya ziada.
Ushauri wangu hapa ni kwamba nikisema niendelee na diploma natakiwa kusoma masomo ya nabe ambayo ni mwaka mzima hli kuweka cheti changu sawa na hapo bado naweza nikafeli.
Kitu ambacho nilitaka kuomba ushauri ni kwamba nimefikiria kujiusisha na biashara maana mtaji naona sio shida kwa sababu ndugu zangu ni watu wenye uwezo wastan ambao hawashindwi kunisaidia maana nimeona shule kama namalza ada za wazazi bila sababu maalumu.
Natanguliza shukran naomba ushauri kwa hili.