Pre GE2025 Ushauri wa upendo kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC)

Pre GE2025 Ushauri wa upendo kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Kama inavyofahamika kuwa mwaka huu 2025 ni Mwaka wa Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.

Mmesikia Vyama vya Upinzani wakilalamika jinsi wanavyohujumiwa kwenye chaguzi zilizopita na hasa chaguzi za Serikali za Mitaa 2024 na Vyama vingine vikitamka hadharani kuwa "NO REFORM NO ELECTION". Ushauri kwenu sasa.

(1) Mhakikishe uchaguzi huu unakuwa huru na wa haki

(2) Kuanzia sasa muanze utaratibu wa kutangaza, usaili na baadaye kuajiri watumishi wenu na siyo watumishi wa Serikali ambao kila mara Wapinzani wanawalalamikia.

(3) Muone uwezekano wa kutotumia vyombo vya usalama vya Serikali ambao Wapinzanbi wanawalalmikia sana.

(4) Epukeni upendeleo wa aina yeyote kwa Vyama vyote na mtende HAKI mbele ya Mwenyezi Mungu.
 
Keyboard ya Simu/kompyuta yako haina sehemu ya kuacha space kwaajili ya paragraph mkuu?
 
Hivi ccm kwa nini wanapenda kukwepa
IMG_0511.jpeg
 
Kama inavyofahamika kuwa mwaka huu 2025 ni Mwaka wa Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.

Mmesikia Vyama vya Upinzani wakilalamika jinsi wanavyohujumiwa kwenye chaguzi zilizopita na hasa chaguzi za Serikali za Mitaa 2024 na Vyama vingine vikitamka hadharani kuwa "NO REFORM NO ELECTION". Ushauri kwenu sasa.

(1) Mhakikishe uchaguzi huu unakuwa huru na wa haki

(2) Kuanzia sasa muanze utaratibu wa kutangaza, usaili na baadaye kuajiri watumishi wenu na siyo watumishi wa Serikali ambao kila mara Wapinzani wanawalalamikia.

(3) Muone uwezekano wa kutotumia vyombo vya usalama vya Serikali ambao Wapinzanbi wanawalalmikia sana.

(4) Epukeni upendeleo wa aina yeyote kwa Vyama vyote na mtende HAKI mbele ya Mwenyezi Mungu.
Bila kubadili vipengele vya katiba na sheria za uchaguzi,tume haiwezi lolote.
 
Wanasema SSH amefanya ,maendeleo kuliko Rais yeyote nchi hii, ila lijapo swala tume huru wanasema wameziba masikio, wengine kuwaita wananchi watakao hili vibaka
 
LENGO LA TUME YA UCHAGUZI NI KUHAKIKUSHA CCM INA BAKI MADARAKANI. USITEGEMEE WABADILISHE MFUMO
 
Back
Top Bottom