Ushauri wa wazee kwa vijana kuna wakati unatatiza sana

Ushauri wa wazee kwa vijana kuna wakati unatatiza sana

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Tuko kwenye nyakati ambazo vijana wanawaona wazee ni washamba wasioelimika na wasiojua kitu.. Lakini pia tuko kwenye enzi ambazo kuna wazee waliogoma kuzeeka na wayafanyayo hawana tofauti na vijana.. Ila hili si la mada hii

Muktadha wa mada hii ni kuangazia baadhi ya ushauri wa wazee kwa vijana.Kuna ushauri mwingine una mapungufu mengi Kuna ushauri mwingine unakengeuka haki za kijana, Kuna ushauri mwingine unakinzana na uhalisia Kuna ushauri mwingine uko nyuma ya wakati

Ewe mzee mshauri kijana ajue kila anachofanya lakini asifanye kila anachojua/anachofahamu..!

Sisi wazee tuna nafasi ya kushauri kwakuwa tulishayapitia.. Je bila kijana kuyapitia kwanza na kuyajua unaweza kweli kumshauri na akakuelewa?

Mshauri kuhusu pombe mwenye kuijua ladha ya pombe. Mshauri kuhusu bangi mwenye kuijua ladha ya mjani😋
Mshauri kuhusu kigoli aliyekutana na mzoefu. Huwezi kumshauri mtu asinywe fanta ni mbaya wakati wewe ulishaionja na ukatoka salama.

Ushauri mwingine tumakinike jamani wazee wenzangu.

Naendelea..

20241008_172549.jpg
 
ni mambo machache sana wazee mnaweza kutushauri, ambayo hatuyajui.

soma sana, heshimu wazazi, mtegemee mungu blah blah blah.
 
Kule bukoba ukipishana kauli na mzee anasema atakupa laana .

Hii nayo imekuwa ikinifikirisha Sana .

Babu yangu mzaa mama alikuwa swala tano Ila alikuwa anatoa laana Sana kwa watoto wake .

Baada ya kukua na kuja DSM miaka miachache nyuma nilipata kusoma kitabu cha mambo ya subconscious mind by Joseph Murphy .

Nikawa na-link nikajifunza kuwa Maneno yanaumba -maana watoto wake Pombe wanakunywa ,Bangi, umalaya n.k.


Hii sasa ni tofauti na Bibi yangu mzaa Baba mpaka anakufa 2003 sisi tukiwa wadogo alikuwa akiwatamkia watoto baraka na wajukuu , in short watoto wake wamefanikiwa wote japo wengi wamefariki kwa sasa

Ukija kwa wajukuu kiasi chake wamefanikiwa ,kujitambua ,maadili na maisha generally.

Ikiwa mzee ni hazina Ila itapendeza ukimakinika katika upande huo wa kuandaa kizazi bora .
 
Naona mzee ananyonga cha Malawi
Molecules😀
Kule bukoba ukipishana kauli na mzee anasema atakupa laana .

Hii nayo imekuwa ikinifikirisha Sana .

Babu yangu mzaa mama alikuwa swala tano Ila alikuwa anatoa laana Sana kwa watoto wake .

Baada ya kukua na kuja DSM miaka miachache nyuma nilipata kusoma kitabu cha mambo ya subconscious mind by Joseph Murphy .

Nikawa na-link nikajifunza kuwa Maneno yanaumba -maana watoto wake Pombe wanakunywa ,Bangi, umalaya n.k.


Hii sasa ni tofauti na Bibi yangu mzaa Baba mpaka anakufa 2003 sisi tukiwa wadogo alikuwa akiwatamkia watoto baraka na wajukuu , in short watoto wake wamefanikiwa wote japo wengi wamefariki kwa sasa

Ukija kwa wajukuu kiasi chake wamefanikiwa ,kujitambua ,maadili na maisha generally.

Ikiwa mzee ni hazina Ila itapendeza ukimakinika katika upande huo wa kuandaa kizazi bora .
Maneno huumba… Maneno yana roho…!
 
Naona mzee ananyonga cha Malawi
Molecules😀
Kule bukoba ukipishana kauli na mzee anasema atakupa laana .

Hii nayo imekuwa ikinifikirisha Sana .

Babu yangu mzaa mama alikuwa swala tano Ila alikuwa anatoa laana Sana kwa watoto wake .

Baada ya kukua na kuja DSM miaka miachache nyuma nilipata kusoma kitabu cha mambo ya subconscious mind by Joseph Murphy .

Nikawa na-link nikajifunza kuwa Maneno yanaumba -maana watoto wake Pombe wanakunywa ,Bangi, umalaya n.k.


Hii sasa ni tofauti na Bibi yangu mzaa Baba mpaka anakufa 2003 sisi tukiwa wadogo alikuwa akiwatamkia watoto baraka na wajukuu , in short watoto wake wamefanikiwa wote japo wengi wamefariki kwa sasa

Ukija kwa wajukuu kiasi chake wamefanikiwa ,kujitambua ,maadili na maisha generally.

Ikiwa mzee ni hazina Ila itapendeza ukimakinika katika upande huo wa kuandaa kizazi bora .
Maneno huumba… Maneno yana roho…!
 
Tuko kwenye nyakati ambazo vijana wanawaona wazee ni washamba wasioelimika na wasiojua kitu.. Lakini pia tuko kwenye enzi ambazo kuna wazee waliogoma kuzeeka na wayafanyayo hawana tofauti na vijana.. Ila hili si la mada hii

Muktadha wa mada hii ni kuangazia baadhi ya ushauri wa wazee kwa vijana.Kuna ushauri mwingine una mapungufu mengi Kuna ushauri mwingine unakengeuka haki za kijana, Kuna ushauri mwingine unakinzana na uhalisia Kuna ushauri mwingine uko nyuma ya wakati

Ewe mzee mshauri kijana ajue kila anachofanya lakini asifanye kila anachojua/anachofahamu..!

Sisi wazee tuna nafasi ya kushauri kwakuwa tulishayapitia.. Je bila kijana kuyapitia kwanza na kuyajua unaweza kweli kumshauri na akakuelewa?

Mshauri kuhusu pombe mwenye kuijua ladha ya pombe. Mshauri kuhusu bangi mwenye kuijua ladha ya mjani😋
Mshauri kuhusu kigoli aliyekutana na mzoefu. Huwezi kumshauri mtu asinywe fanta ni mbaya wakati wewe ulishaionja na ukatoka salama.

Ushauri mwingine tumakinike jamani wazee wenzangu.

Naendelea..

View attachment 3119165
screenshot_2024-01-27-12-30-12-1-png.2884533


Vijana na Wazeee, ona macho, Cha Arusha nini?
 
Huwezi kumshauri mtu asinywe fanta ni mbaya wakati wewe ulishaionja na ukatoka salama.
 
Back
Top Bottom