Ushauri wadau.termination of contract

Ushauri wadau.termination of contract

mchambuzixx

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
1,292
Reaction score
946
kuna rafiki yangu anafanya kazi ttcl amepewa barua ya termination of contract mkataba wake ulikuwa unaisha september 26 amepewa ghafla bila notification yoyote je hio ni sahihi ...anaweza kupata msaada wapi ?
 
Huo mkataba umesitishwa kwa sababu zipi? je mkataba wake wa ajira ulikuwa unasemaje katika kipengere cha kuacha au kuachishwa kazi?
 
Back
Top Bottom