Ushauri wako ewe mwana JF mpenda maendeleo

ketegile the don

New Member
Joined
Jun 21, 2019
Posts
1
Reaction score
1
Habari ndugu wanajamvi, Mimi ni mtumishi wa umma, Nina mpango wa kufanya biashara kama njia mbadala ya kujiongezea kipato na biashara yangu imejikta katika genge lenye mtizamo kama kwenye kiambatanisho. Naomba ushauri wako pale palipo pelea au panapotakiwa kupunguzwa. Akhasante sana.View attachment NO.docx
 
Hii attachment umeiwekaje? Mbona haifunguki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…