Ushauri wako:je ni ardhi au udsm?

Ushauri wako:je ni ardhi au udsm?

donald james

Member
Joined
Jan 6, 2014
Posts
43
Reaction score
7
habar zenu wadau wa elimu,mimi ni kijana niliyemalza form 6 mwaka huu,toka zaman nilkuwa nataman nisome UDSM lakn klchokuwa kinaniumiza kichwa ni kwamba kozi nnayoitaka(archtecture)haikuwepo na ilkuwa ARU lakn kwa bahat koz hyo imeanzishwa UDSM mwaka huu,tatzo linakuja naambiwa kwa sabab ya UZOEFU n bora nkasome ARDHI kuliko UDSM nnapopapenda,naomba ushauri wako mdau....
 
Nakushauri usome ardhi but hata ukienda udsm sio mbaya coz ni wale wale tu,kuna machalii flani walisoma ardhi wameajiriwa hapo udsm kufundisha hio course
 
Udsm wakianzisha course uje wameiaha jipanga usidhan chuo kama shule ya kata.kwanza umepata ngapi usije ukawa na point za big result now
 
Nakushauri usome ardhi but hata ukienda udsm sio mbaya coz ni wale wale tu,kuna machalii flani walisoma ardhi wameajiriwa hapo udsm kufundisha hio course

nashukuru kwa ushaur,lakn kama wanafunz wahtmu ndo wanaenda kufundisha ud c haitakuwa imekaa poa?
 
No sio hivyo,just wale watakua ni tutorial assistant lakini juq kama pale wana civil engineering kwahio kuna walimu wazoefu wa hayo mambo,pia kile ni chuo kikubwa so najua wamejipanga ndio wakaanzisha,lakini ujue pia kampuni zote wanajua kama maarchitect bora tz wanatoka ardhi na karibu watu wote wenye kampuni kubwa za mambo ya architectural activities wamesomea ardhi kwahio ujue architects wa udsm itahitaji kujiingiza katika soko wakati architects wa ardhi wao wapo sokoni kitambo..but ardhi na udsm ni wale wale tu,mimi nipo ardhi geomatics but kuna course mwaka wa kwanza sem1 tulikua tunakwenda kusomea kule na walimu wa kule kule
 
aaaaaanha,daah..!basi hapo ardhi itahusika ndugu,wanasema ni ngumu sana si ndio..?na kama mtu asiyejua kuchora inakuwaje?
 
njoo ardhi dogo.... hio ya udsm ipe miaka kama mitatu mbele now mpya
 
Vp hiyo kozi heslb wanatoa loan?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
aaaaaanha,daah..!basi hapo ardhi itahusika ndugu,wanasema ni ngumu sana si ndio..?na kama mtu asiyejua kuchora inakuwaje?

Hata kama hujui kuchora unafundishwa from beginning kwa sababu pale watu wote wanajulikana wakianza hawajui kuchora ndio maana mnaanza kufundishwa kunyoosha mistari,kuna watu wameingia hawajui hata kusketch paka but wametoka pale ni mafundi,mfano mzuri ni mkaka mmoja amemaliza 2011 anaitwa fadhil mhawila aliniambia kama aliingia pale hajui chochote kuhusu kuchora but amemaliza na kuwa among the best student wa mwaka huo na yupo vizuri kweli,so usiwe na wasiwas na hilo,sema shule yake inatesa kimtindo sio kama ni ngumu sana ila inakula muda wako mwingi kwahio kama wewe ni mvivu basi bora uhamie course nyengine maana ile ni kukesha kwenda mbele katika uchoraji
 
... mfano mzuri ni mkaka mmoja amemaliza 2011 anaitwa fadhil mhawila aliniambia kama aliingia pale hajui chochote kuhusu kuchora but amemaliza na kuwa among the best student wa mwaka huo na yupo vizuri kweli,...
Daah, mkuu, unaweka hadi jina lake? Amekupa idhini?
 
habar zenu wadau wa elimu,mimi ni kijana niliyemalza form 6 mwaka huu,toka zaman nilkuwa nataman nisome UDSM lakn klchokuwa kinaniumiza kichwa ni kwamba kozi nnayoitaka(archtecture)haikuwepo na ilkuwa ARU lakn kwa bahat koz hyo imeanzishwa UDSM mwaka huu,tatzo linakuja naambiwa kwa sabab ya UZOEFU n bora nkasome ARDHI kuliko UDSM nnapopapenda,naomba ushauri wako mdau....
ardhi wamebobea kutoa hiyo course..so nenda ardhi mkuu....lakini mbona ardhi na ud mazingira ni ya palepale tu....utofauti ni ud ni largest inst,ardhi inafuata.....but in term of programme
 
ardhi wamebobea kutoa hiyo course..so nenda ardhi mkuu....lakini mbona ardhi na ud mazingira ni ya palepale tu....utofauti ni ud ni largest inst,ardhi inafuata.....but in term of programme

ahsante,ntazngatia ushaur wako
 
habar zenu wadau wa elimu,mimi ni kijana niliyemalza form 6 mwaka huu,toka zaman nilkuwa nataman nisome UDSM lakn klchokuwa kinaniumiza kichwa ni kwamba kozi nnayoitaka(archtecture)haikuwepo na ilkuwa ARU lakn kwa bahat koz hyo imeanzishwa UDSM mwaka huu,tatzo linakuja naambiwa kwa sabab ya UZOEFU n bora nkasome ARDHI kuliko UDSM nnapopapenda,naomba ushauri wako mdau....

Umesoma combination gani wewe
 
Back
Top Bottom