donald james
Member
- Jan 6, 2014
- 43
- 7
habar zenu wadau wa elimu,mimi ni kijana niliyemalza form 6 mwaka huu,toka zaman nilkuwa nataman nisome UDSM lakn klchokuwa kinaniumiza kichwa ni kwamba kozi nnayoitaka(archtecture)haikuwepo na ilkuwa ARU lakn kwa bahat koz hyo imeanzishwa UDSM mwaka huu,tatzo linakuja naambiwa kwa sabab ya UZOEFU n bora nkasome ARDHI kuliko UDSM nnapopapenda,naomba ushauri wako mdau....