ushauri wako n muhimu sana hapa kuokoa jahaz,,,,

ushauri wako n muhimu sana hapa kuokoa jahaz,,,,

glass amo

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2017
Posts
3,645
Reaction score
4,330
Saaaaalm...
Natumain week end imekaa poa sana kwako.
Bila kupoteza muda naenda moja kwa moja kwenye mada
Husika na kicha cha Uzi
Kuna jamaa angu mmoja n rafiki yangu kipnz
Leo kaja kwangu kutaka ushaur
Juu ya nn afanye.
Iko hivi kwao wamezaliwa watoto saba na yeye n watano kati yao
Wazaz wao walitangulia mbele za haki SKU sio nying sana kama miaka 2 sasa.
Katika urithi bahat mbaya baba hakuacha wosia wowote namna
Gain wagawane Mali.
Kwa bahat nzur waliachiwa nyumba kama tatu na magar 2.
Mwanzo walikua wakikubaliana
Vizur. Cha ajabu wenzake wamekua vichomi kwa kutaka nyumba ziuzwe na kila MTU apewe chake. Jambo ambalo n kinyume na makubaliano yao yamwanzon kwamba waliahidiana kuziendeleza Mali hzo.
Kiukweli amechanganyikiwa
Kwani Alisha anza kupanga mipango ming ya kuiendeleza by wenzake ndo wamepandwa na mashetan ya kuuza Mali.
Em kama we una ushaur gani kwake kumsaidia kimawazo?????
Nawasilisha.....
 
hakuna namna AKUBALI TU HIZO MALI ZIUZWE ..MSIMAMO WAKE UNGEKUWA NA TIJA ZAIDI KAMA ANGEKUWA NA WENZAKE KADHAA AMBAO WANAMUONGA MKONO ..LAKINI KAMA WOTE HAWAPO PAMOJA NAE ..MKUU HAPO HATA WAKIENDA MAHAKAMANI HUYO JAMAA YKO ATAKUWA HANA CHAKUMSHAWISHI JUDGE
 
Saaaaalm...
Natumain week end imekaa poa sana kwako.
Bila kupoteza muda naenda moja kwa moja kwenye mada
Husika na kicha cha Uzi
Kuna jamaa angu mmoja n rafiki yangu kipnz
Leo kaja kwangu kutaka ushaur
Juu ya nn afanye.
Iko hivi kwao wamezaliwa watoto saba na yeye n watano kati yao
Wazaz wao walitangulia mbele za haki SKU sio nying sana kama miaka 2 sasa.
Katika urithi bahat mbaya baba hakuacha wosia wowote namna
Gain wagawane Mali.
Kwa bahat nzur waliachiwa nyumba kama tatu na magar 2.
Mwanzo walikua wakikubaliana
Vizur. Cha ajabu wenzake wamekua vichomi kwa kutaka nyumba ziuzwe na kila MTU apewe chake. Jambo ambalo n kinyume na makubaliano yao yamwanzon kwamba waliahidiana kuziendeleza Mali hzo.
Kiukweli amechanganyikiwa
Kwani Alisha anza kupanga mipango ming ya kuiendeleza by wenzake ndo wamepandwa na mashetan ya kuuza Mali.
Em kama we una ushaur gani kwake kumsaidia kimawazo?????
Nawasilisha.....
Mwambie awahi mahakamani akatie pingamizi.

Au aanzie kwa wakili ili agewe plan nzima
 
hakuna namna AKUBALI TU HIZO MALI ZIUZWE ..MSIMAMO WAKE UNGEKUWA NA TIJA ZAIDI KAMA ANGEKUWA NA WENZAKE KADHAA AMBAO WANAMUONGA MKONO ..LAKINI KAMA WOTE HAWAPO PAMOJA NAE ..MKUU HAPO HATA WAKIENDA MAHAKAMANI HUYO JAMAA YKO ATAKUWA HANA CHAKUMSHAWISHI JUDGE
daaaah
 
hakuna namna AKUBALI TU HIZO MALI ZIUZWE ..MSIMAMO WAKE UNGEKUWA NA TIJA ZAIDI KAMA ANGEKUWA NA WENZAKE KADHAA AMBAO WANAMUONGA MKONO ..LAKINI KAMA WOTE HAWAPO PAMOJA NAE ..MKUU HAPO HATA WAKIENDA MAHAKAMANI HUYO JAMAA YKO ATAKUWA HANA CHAKUMSHAWISHI JUDGE
Cha kumshawishi anacho.

Yeye pia ni mmiliki mwenza wa huo urithi.
 
Kwa muonekano wa iyo i.d yako..huyo rafiki atakuwa na mapungufu sana kuomba ushaur kwa sampuli kama ww..empty set
 
Kwa muonekano wa iyo i.d yako..huyo rafiki atakuwa na mapungufu sana kuomba ushaur kwa sampuli kama ww..empty set
ungekua mtoto sawa lakin mtu mzima nakuacha kama ulivyo
 
Aonane na Wakili asaidie mawazo, hata hivyo kuendeleza Mali za urithi na ngumu
 
Ni afadhali tu auze atengeneze mali zake na familia yake. Mali ya urithi siyo ya kuendeleza kama mmezaliwa wengi. Waliotafuta wakifa wanaorithi huwa hawana uchungu wala mawazo ya kufanana zaidi hufarakana hata kuuana. Akubali wauze tu
 
Ni afadhali tu auze atengeneze mali zake na familia yake. Mali ya urithi siyo ya kuendeleza kama mmezaliwa wengi. Waliotafuta wakifa wanaorithi huwa hawana uchungu wala mawazo ya kufanana zaidi hufa
rakana hata kuuana. Akubali wauze tu

nakubaliana na ww asilimia 100
 
Back
Top Bottom