Pole sana mkuu sijajua maana hujasema gari ya kiasi ganiSasa mkuu Mi naongelea ka porte wewe unanishauri dude la mamilion?
Sasa mkuu Mi naongelea ka porte wewe unanishauri dude la mamilion?
Wakuu Habari zenu, naomba ushauri kidogo juu ya hii gari, sina uzoefu nayo sana, Mama watoto ni mjamzito kwa hyo Nakusudia kumchukulia usafiri Nikaona Porte inaweza kumfaa..
Je gari hizi udhaifu wake hasa ni nini? Na je ni gari sahihi kwa matumizi ya familia? na vipi kuhusu upatkanaji wa spare parts??
Angekuomba ushauri wa aina hii.Mkuu nakushauri mnunulie kitikuu na ngombe tatu za maziwa ,hutajuta tafutie kijana kutoka mikoani wasadainiane kwenye huo mradi !!! Utanikumbuka
Kwanza kwa mtazamo wangu nakuona mtoa mada ni mjanja wala haujakosea kuchagua porte ni gari mzuri sana kwa familiar kwanza ina nafasi kubwa sana ndani hata siti zake ziko poa na ni comfortable kuliko I.s.t.
Ulaji wa mafuta ni mdogo sana kama I.s.t nakushauri uchukue porte hautajuta pia kuhusu uimara yanafanana tu na I.s.t
Fuata ushauri huu hutajutia maamuzi.Kwanza kwa mtazamo wangu nakuona mtoa mada ni mjanja wala haujakosea kuchagua porte ni gari mzuri sana kwa familiar kwanza ina nafasi kubwa sana ndani hata siti zake ziko poa na ni comfortable kuliko I.s.t.
Ulaji wa mafuta ni mdogo sana kama I.s.t nakushauri uchukue porte hautajuta pia kuhusu uimara yanafanana tu na I.s.t
Ni kweli kabisaa. .Kwanza kwa mtazamo wangu nakuona mtoa mada ni mjanja wala haujakosea kuchagua porte ni gari mzuri sana kwa familiar kwanza ina nafasi kubwa sana ndani hata siti zake ziko poa na ni comfortable kuliko I.s.t.
Ulaji wa mafuta ni mdogo sana kama I.s.t nakushauri uchukue porte hautajuta pia kuhusu uimara yanafanana tu na I.s.t