Ushauri wako ni muhimu sana kama unafaham kuhusu hili

LWITIKO LWITIKO

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
209
Reaction score
118
Kutokana na huduma duni za afya ktk maeneo mengi ya nchi yetu, nimefikiria kufungua japo maabara yenye viwango vizuri ktk kutoa huduma. Sasa naomba msaada kwenu wadau mnaofaham jinsi ya kupata vifaa bora vitakavyo rahisisha utoaji huduma bora zaidi, pili ghalama za manunuzi kwa ujumla na taratibu za kiselikali ktk kufanikisha hili. Natanguliza shukrani kwenu.
 
Mkuu unawaza vipi kupata vifaa vya maabara wakati hujafikiria hata hatua za usajili ? Au ushamaliza huko?
 
Mkuu unawaza vipi kupata vifaa vya maabara wakati hujafikiria hata hatua za usajili ? Au ushamaliza huko?

Hapana ndio maana nataka kufaham hatua zote na mtaji wake kwaujumla binafsi sifaham lolote ila nimevutiwa tu na hiyo biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…