kada maarufu
Senior Member
- Jun 14, 2017
- 149
- 82
Advertise ya kwanza umeshindwa kupata USA visa on time ukakosa show kitu ambacho haujawahi kuki'experience hivyo ujue ukiwa solo ile easy flow uliyokuwa umeizoea hatakuwepo tena, 75% ya fans wako ni kwa sababu uko WCB hivyo ujipange kutengeneza fans wako, jiandae kwa figisu kwenye adverts, endorsements na shows. Uphill task ahead kijana, usipojiangalia utayakumbuka maneno ya Master J pale Bongo Star Search na utaanza kuyaamini.Pamekuepo na taarifa za mara kwa mara za mmoja wa wanamuziki wa WCB Harmonise kuondoka au kutaka kuondoka katika lebel yake hiyo iliyomtoa na kukuza.
Binafsi baada ya kusoma mijadala mingi uko kwengine nimekua na mixed feeling kuhusu hilo, kiasi hata sasa uliniuliza kipi naona bora sitakua na jibu sahihi.
Kwaajili ya maendeleo ya sanaa yetu embu wadau tushauriane kipi bora kwa Harmonize kwa sasa na Kwasababu gani, labda licha ya kuwa mimi pia nitapata uelewa ila labda hata yeye au uongozi wake utapita hapa na kuchambua mawazo.
Nawasilisha
Eti wadau wanasema Harmonize nje ya WCB ni HarmorapaNje ya WCB hamornaise hana jipya aondoke aone kama hajawa kama yule mwingine aliesepa akapata tabu huko alikokwenda
Hili linawezekana, tatizo ni kwamba kipindi anasign ule mkataba alikuwa nobody, si unajua underground akiwa na njaa ya kutoka ukimletea mkataba wowote mezani anasign tu hata kama amepewa 5%, akishapata jina ndo anaanza kutambua kwamba mkataba ulikuwa wrong. Nafikiri ndio situation aliyonayo sahivi, anaona anapata show za pesa nyingi ila yeye hanufaiki kivile, ila ni bora ahangaike kukaa mezani kurekebisha mkataba kuliko kufikiria kuondokaTatizo kubwa nionalo ni pesa inaonesha mkataba unambana sana au hafaidiki
Ha ha ha ha.....! Exactly.Eti wadau wanasema Harmonize nje ya WCB ni Harmorapa
Ndo kitachotokea hiko.Mjuwe WCB Wana TV na Radio kumtangaza karibu Africa yote. Kupitia DStv Azam. SratTimes. Akiondoka biashara yake itafifia Sana. Biashara NI matangazo ya kisasa. Tujiulize kwa niniamekosa VISA ya kwenda USA?