ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Nina genge na kaduka kadogo nyuma yake.Tatizo wenye maduka makubwa wanaonizunguka wamekuwa na kawaida ya kuja kuangalia vitu ninavyouza mpaka ninaogopa hasa ikichukuliwa ni mwezi tu nimeanza nazi hii na istoshe wao wana mitaji mikubwa sana.Wakati mwingine wanakuja eti kununua viberiti wakati na wao wanaviuza!Nishaurini wadau hali hiyo ni kawaida au kuna ajenda nyingine?