ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
UshimenWasiwasi wako unakufanya usijiamini na kupelekea kuwaza mabaya ambayo yanakutia hofu.
Piga kazi na usiangalie sura ya mtu aiseeee......
Pengine wao pia wanakuogopa kwa kutaka kujua kinacho kufanya wewe na mtaji wako mdogo uamue kuweka kibiashara chako kwati yao pamoja na kwamba wana mitaji mikubwa.
Muombe Mungu akufanyie wepesi na uweze kuyashinda majaribu.
Kwani hukujua kwamba biashara INA mengi!! Kama ulijua tulia piga kazi nafkir ushajua nn wanamaanishaNina genge na kaduka kadogo nyuma yake.Tatizo wenye maduka makubwa wanaonizunguka wamekuwa na kawaida ya kuja kuangalia vitu ninavyouza mpaka ninaogopa hasa ikichukuliwa ni mwezi tu nimeanza nazi hii na istoshe wao wana mitaji mikubwa sana.Wakati mwingine wanakuja eti kununua viberiti wakati na wao wanaviuza!Nishaurini wadau hali hiyo ni kawaida au kuna ajenda nyingine?
kazi yako ni kuuza tu ndomana ulileta bidhaa ziuzwe, hata akija rais jpm muuzie si ndo kazi yako?Nina genge na kaduka kadogo nyuma yake.Tatizo wenye maduka makubwa wanaonizunguka wamekuwa na kawaida ya kuja kuangalia vitu ninavyouza mpaka ninaogopa hasa ikichukuliwa ni mwezi tu nimeanza nazi hii na istoshe wao wana mitaji mikubwa sana.Wakati mwingine wanakuja eti kununua viberiti wakati na wao wanaviuza!Nishaurini wadau hali hiyo ni kawaida au kuna ajenda nyingine?
Wasiwasi wako unakufanya usijiamini na kupelekea kuwaza mabaya ambayo yanakutia hofu.
Piga kazi na usiangalie sura ya mtu aiseeee......
Pengine wao pia wanakuogopa kwa kutaka kujua kinacho kufanya wewe na mtaji wako mdogo uamue kuweka kibiashara chako kwati yao pamoja na kwamba wana mitaji mikubwa.
Muombe Mungu akufanyie wepesi na uweze kuyashinda majaribu.
Komaaaaa.....hizo ndo changamoto zenyew kamwe ucteterek bak njia kuu n songa mbeleNina genge na kaduka kadogo nyuma yake.Tatizo wenye maduka makubwa wanaonizunguka wamekuwa na kawaida ya kuja kuangalia vitu ninavyouza mpaka ninaogopa hasa ikichukuliwa ni mwezi tu nimeanza nazi hii na istoshe wao wana mitaji mikubwa sana.Wakati mwingine wanakuja eti kununua viberiti wakati na wao wanaviuza!Nishaurini wadau hali hiyo ni kawaida au kuna ajenda nyingine?
duuuuh ndumba mkuuuu huko siko kabisaaKwani hukujua kwamba biashara INA mengi!! Kama ulijua tulia piga kazi nafkir ushajua nn wanamaanisha