NDUGU YANGU HICHI NDIO KIWANGO CHA CHINI AMBACHO TCU WAMEKISETMimi nimemaliza form six mwaka huu na nimepata division 3 ya points 17 nina E ya geography,E ya Economics na F ya Math's nauliza kwamba naweza kupata chuo kwa kiwango hicho cha ufaulu
7. Minimum entry requirements for Admission into Higher Education Institutions
The minimum entry requirements set by TCU for University institutions and NACTE for non-
University institutions are as follows: (a) For those with ‘A' Level Secondary Education qualifications, the minimum entry into
degree programmes offered by universities shall be TWO principal passes and a total of 2.5 points;
NDUGU YANGU HICHI NDIO KIWANGO CHA CHINI AMBACHO TCU WAMEKISET
KWA MATOKEO YAKO WEWE UNA EEF=1+1+0=2 ushauri wangu kuna vyuo kama ST.JOSEPH NA VINGINE VINACHUKUA CHINI YA HICHO KIWANGO CHA TCU SO JARIBU KUANGALIA KWENYE KITABU CHA MUONGOZO
hebu jaribu kuiweka kwenye machaguo yako wakati unaomba jaribu kuomba hizo kozi zenye point 2nimejaribu kuangalia nikaona kwamba kuna fuculty ya building economics chuo cha ardhi inchukua points 2 lkn math's wameandika at least niwe na s lkn nna f sijui wata iregard ya "o"level coz nna b
nimejaribu kuangalia nikaona kwamba kuna fuculty ya building economics chuo cha Ardhi inchukua points 2 lkn math's wameandika at least niwe na S lkn nna F sijui wata iregard ya "O"level coz nna B