Ushauri wakuu

Ushauri wakuu

eima

Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
45
Reaction score
28
Nina wazo la kuanza biashara ya kuuza unga wa ulezi kwa mtaji wa 100000, nipeni ushauri jmn namna ya kuweka mchanganyiko, mfano kwa kg 5 za ulezi na weka mchele, karanga, mahindi na soya kiasi gani?
Nipeni mawazo wapendwa wangu , maeneo niliyopo upatikanaji wa ulezi upo hivo vingine ndo nanunua
 
Back
Top Bottom