Ushauri: Wale mnaotoka upinzani wahini muhamie CCM Mapema kunakaribia kujaa

Ushauri: Wale mnaotoka upinzani wahini muhamie CCM Mapema kunakaribia kujaa

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Mda ndio huuu

Msisubiri sijui uchaguzi ufanyike

Wale mnaotoka CHADEMA hamieni CCM. Nafasi zimebaki chache

Na hiii kujitoa sijui kwenye kamati flan iendane na uhamisho WA jumla

Unajivua uongozi na Badoo uko kama mwanachama sijaona manufaa yake

Fanyeni maamuzi magumu sasa

Gdnyt
 
Kwa kweli, kwa unyenyekevu na bila hukumu wala nia ya kumkosea mtu yeyote mwenye maoni tofauti, nikisema ukweli kwa moyo mweupe na nia safi, nimekuwa na jambo moyoni kwa muda mrefu ambalo sikusema kwa sababu ya woga. Lakini leo, kwa ujasiri wote nilioupata, nataka kusema kuwa sina chochote cha kusema. Asante!
 
Lumumba ongezeni mabenchi. Nyomi kubwa toka saccos linakuja.
 
Kwa kweli, kwa unyenyekevu na bila hukumu wala nia ya kumkosea mtu yeyote mwenye maoni tofauti, nikisema ukweli kwa moyo mweupe na nia safi, nimekuwa na jambo moyoni kwa muda mrefu ambalo sikusema kwa sababu ya woga. Lakini leo, kwa ujasiri wote nilioupata, nataka kusema kuwa sina chochote cha kusema. Asante!
....inaendeleaaa
 
Wasisenee sijawaanbiaaaaaa

Safina ikifungwaaa
 
Wakati WA ukombozi ndioo sasaa amkenii tokeni huko kuzimu mjikomboe
 
Back
Top Bottom