Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Mda ndio huuu
Msisubiri sijui uchaguzi ufanyike
Wale mnaotoka CHADEMA hamieni CCM. Nafasi zimebaki chache
Na hiii kujitoa sijui kwenye kamati flan iendane na uhamisho WA jumla
Unajivua uongozi na Badoo uko kama mwanachama sijaona manufaa yake
Fanyeni maamuzi magumu sasa
Gdnyt
Msisubiri sijui uchaguzi ufanyike
Wale mnaotoka CHADEMA hamieni CCM. Nafasi zimebaki chache
Na hiii kujitoa sijui kwenye kamati flan iendane na uhamisho WA jumla
Unajivua uongozi na Badoo uko kama mwanachama sijaona manufaa yake
Fanyeni maamuzi magumu sasa
Gdnyt