Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 3,036
- 5,039
Huu utaratibu wa kuwaambia watu kuomba ajira kisa tu wamesoma na wamemaliza ngazi zao elimu sio sawa, na umeshapitwa na wakati hapa nchini. Na uchumi hauna tena uwezo wa ku-accomodate majority ya walimu na hata kada za afya.
Njia pekee ambayo itaisaidia kwa asilimia kubwa utapeli, rushwa katika mchakato, undugunization, ukabilization, ufahaminization nk katika mchakato huu ni kuwapitisha kwenye interview za sekretariat ya ajira au tume huru yoyote.
Mchakato usitishwe au wote walioomba waitwe kwenye mchakato wa usaili wa aina 3:
Suala la kujitolea pia siku hizi imekuwa ni opportunity na sio fair pia. Lina figisu zote kama ilivyo ajira.
Wizara ikisema inawachukua waliwahi kujitolea, jua hapo waziri ameingizwa kingi na vi-cartels vya wizara yale. Wamempotosha makusudi ili wanufaike na mchakato. Ama sivyo basi wamewaza kidogo sana. Wawaze tena.
Waziri Ummy, omba bajeti ya dharura ya kufanyia interview ili upate walimu wa uhakika. Mtakuja hapa kunishukuru.
Ukitaka kuamini, utafiti ufanyike kati ya ubora wa watumishi wanaopitia usaili wa sekretarieti na zile ngoma ambazo zenyewe zinaunga moja kwa moja.
Mtaona tofauti kubwa.
Ni hivyo tu yani.
Njia pekee ambayo itaisaidia kwa asilimia kubwa utapeli, rushwa katika mchakato, undugunization, ukabilization, ufahaminization nk katika mchakato huu ni kuwapitisha kwenye interview za sekretariat ya ajira au tume huru yoyote.
Mchakato usitishwe au wote walioomba waitwe kwenye mchakato wa usaili wa aina 3:
- Usaili wa kuandika awamu ya 1
- Usaili wa kuandika awamu ya 2 (hii pia huitwa michujo)
- Na usaili wa ana kwa ana na panel
Suala la kujitolea pia siku hizi imekuwa ni opportunity na sio fair pia. Lina figisu zote kama ilivyo ajira.
Wizara ikisema inawachukua waliwahi kujitolea, jua hapo waziri ameingizwa kingi na vi-cartels vya wizara yale. Wamempotosha makusudi ili wanufaike na mchakato. Ama sivyo basi wamewaza kidogo sana. Wawaze tena.
Waziri Ummy, omba bajeti ya dharura ya kufanyia interview ili upate walimu wa uhakika. Mtakuja hapa kunishukuru.
Ukitaka kuamini, utafiti ufanyike kati ya ubora wa watumishi wanaopitia usaili wa sekretarieti na zile ngoma ambazo zenyewe zinaunga moja kwa moja.
Mtaona tofauti kubwa.
Ni hivyo tu yani.