mapunda b
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 418
- 19
mi nkijana niliye hitimu kidato cha nne 2012 namshukuru Mungu nimepata div.2 ya 19 na mimi napenda sana masomo ya sayansi hasa comb ya PCB na CBG sasa nmepata iv PCB-dcb na CBG-cbc sasa wasiwasi wangu ni kwamba naweza nsichaguliwe pcb nikaenda cbg na mim malengo yangu ni siku moja kuwa dr of medicene na nimejaribu uliza wengine na nimeambiwa kua kam nataka ivyo lazma nsome pcb.... naombeni mnijuze juu ya ilo pia ni mambo gani mtu anayoweza fanya akichukua PCB na CBG... Natanguliza shukrani zangu za dhati.,