Ushauri wangu juu ya ajira za ualimu

Ushauri wangu juu ya ajira za ualimu

MWALIMU DAIMA

Senior Member
Joined
Mar 4, 2023
Posts
129
Reaction score
263
Habari Wana jukwaa hope wote ni wazima, Mimi ni member mpya wa Jf pia ni moja ya mwanafunzi katika moja ya chuo kikuu apa kwetu TANZANIA.

Lengo la Uzi huu nilipenda kutoa ushaur na mawazo Yangu kwa serikali yangu ya Tanzania, kuanza kutoa ajiri za walimu kwa mkataba yaani iwe iv;

📌📌📌Mwalimu aajiriwe kwa mkataba wa miaka kumi tu baada ya apo mkataba wake uishe nafasi yake ichukuliwe na mwalimu mwingine ambae bado ni non employed📌📌

FAIDA YA KUWA NA HUU MFUMO
01. Itasaidia kupunguza tatizo la ajira
02. Itaongeza nidhamu ya pesa kwa walimu walio ndani ya ajira, kwan, mwalimu atawekeza PESA yake ya mshahara kwa nidhamu akitambua ajira yake ni ya muda

📌📌📌 Zaidi ya yote Ikiwa serikali yangu itafata huu mfumo sharti ni moja iongezee na kupandisha mishahara kwa walimu ili ndani ya miaka kumi ya utumishi wao watoke angalau na kitu kitakacho wainua📌📌

Karibuni kwa mawazo yenu wakuu wangu.
 
Kwanini kwa walimu na siyo kwa ajira zote za serikali?

Hilo suala haliwezekani..

Ushauri wa bure hebu unapokuwa chuo usisome kwa ajili ya kutegemea kuajiriwa na serikali .."Jiajiri"
 
Kwa sababu mfumo huo hautozalisha walimu mahiri ila utakuwa unazalisha walimu watafuta ajira,bima na wasubir mafao (ambayo nayo itakuwa nguvu kuyapigia hesabu)
Si kweli mkuu wangu,,,
Kwan mfumo wa ajira ndiyo una zalisha walimu competent???
 
Elezea mfumo upi huo (Isije kuwa huu wa mkoloni)...🤔🤔
Umahiri wa walimu unategemea vitu vingi sana hasa unategemea uwepo wa relevant and currently curriculum katika vyuo wanavyo pikwa hao walimu na jinsi Wananvyo patikana
 
Habari Wana jukwaa hope wote ni wazima, Mimi ni member mpya wa Jf pia ni moja ya mwanafunzi katika moja ya chuo kikuu apa kwetu TANZANIA.

Lengo la Uzi huu nilipenda kutoa ushaur na mawazo Yangu kwa serikali yangu ya Tanzania, kuanza kutoa ajiri za walimu kwa mkataba yaani iwe iv;

📌📌📌Mwalimu aajiriwe kwa mkataba wa miaka kumi tu baada ya apo mkataba wake uishe nafasi yake ichukuliwe na mwalimu mwingine ambae bado ni non employed📌📌

FAIDA YA KUWA NA HUU MFUMO
01. Itasaidia kupunguza tatizo la ajira
02. Itaongeza nidhamu ya pesa kwa walimu walio ndani ya ajira, kwan, mwalimu atawekeza PESA yake ya mshahara kwa nidhamu akitambua ajira yake ni ya muda

📌📌📌 Zaidi ya yote Ikiwa serikali yangu itafata huu mfumo sharti ni moja iongezee na kupandisha mishahara kwa walimu ili ndani ya miaka kumi ya utumishi wao watoke angalau na kitu kitakacho wainua📌📌

Karibuni kwa mawazo yenu wakuu wangu.
Unaweza kunipa mifano ya nchi mbili zinazofanya hivyo?Umeongelea kada ya ualimu tu,kwa nini usijiulize wanasheria wao wanaajiriwa wapi?
 
Unaweza kunipa mifano ya nchi mbili zinazofanya hivyo?Umeongelea kada ya ualimu tu,kwa nini usijiulize wanasheria wao wanaajiriwa wapi?
Ni mawazo Yangu mkuu,
Na sikila kinacho fanyika TANZANIA lazima kifanyike taifa lingine,
 
Ni mawazo Yangu mkuu,
Na sikila kinacho fanyika TANZANIA lazima kifanyike taifa lingine,
Nikushauri kitu,ajira ya ualimu haiko Kama tunavyofikiria!Mengi yanahusika!Kama wewe ni mwalimu kwanza usikubali kukaa nyumbani kisa serikali haitoi ajira!Ualimu ni zaidi ya kuajiriwa kufundisha!Kama wewe ni mwalimu wa masomo ya sayansi nenda kwa mkurugenzi yeyote muombe kujitolea kwenye shule zilizo chini yake utakuja kunishukuru baadae
 
Nikushauri kitu,ajira ya ualimu haiko Kama tunavyofikiria!Mengi yanahusika!Kama wewe ni mwalimu kwanza usikubali kukaa nyumbani kisa serikali haitoi ajira!Ualimu ni zaidi ya kuajiriwa kufundisha!Kama wewe ni mwalimu wa masomo ya sayansi nenda kwa mkurugenzi yeyote muombe kujitolea kwenye shule zilizo chini yake utakuja kunishukuru baadae
Pamoja mkuu
 
Habari Wana jukwaa hope wote ni wazima, Mimi ni member mpya wa Jf pia ni moja ya mwanafunzi katika moja ya chuo kikuu apa kwetu TANZANIA.

Lengo la Uzi huu nilipenda kutoa ushaur na mawazo Yangu kwa serikali yangu ya Tanzania, kuanza kutoa ajiri za walimu kwa mkataba yaani iwe iv;

[emoji419][emoji419][emoji419]Mwalimu aajiriwe kwa mkataba wa miaka kumi tu baada ya apo mkataba wake uishe nafasi yake ichukuliwe na mwalimu mwingine ambae bado ni non employed[emoji419][emoji419]

FAIDA YA KUWA NA HUU MFUMO
01. Itasaidia kupunguza tatizo la ajira
02. Itaongeza nidhamu ya pesa kwa walimu walio ndani ya ajira, kwan, mwalimu atawekeza PESA yake ya mshahara kwa nidhamu akitambua ajira yake ni ya muda

[emoji419][emoji419][emoji419] Zaidi ya yote Ikiwa serikali yangu itafata huu mfumo sharti ni moja iongezee na kupandisha mishahara kwa walimu ili ndani ya miaka kumi ya utumishi wao watoke angalau na kitu kitakacho wainua[emoji419][emoji419]

Karibuni kwa mawazo yenu wakuu wangu.
1. Ni kwa namna gani itapunguza tatizo la ajira?

2. Suala la kuwa na nidhamu ya pesa/matumizi hilo nalo ni la serikali?
 
Hivi tatizo la waalimu TANZANIA lipo wapi?,ajira za ualimu zipo nyingi tu duniani, waalimu wa Tanzania wanakwama wapi?,binafsi nimesoma ualimu, ila kipindi kile upo jkt tayari post zimeshatoka,ok nyakati zimebadilika ila soko la dunia demands bado ipo kubwa, jiulize why Rwanda afuate waalimu Zimbabwe?,juzi kati UK imetoa masharti nafuu ya kuishi UK kwa waalimu wa SA,Nigeria, Ghana,Zimbabwe, sisi tumekwama wapi?,Asia huko including China kuna gaps nyingi za ualimu wa kiingereza sisi tumekwama wapi?,Swaziland, Lesotho, Namibia why waalimu wengi wametoka Ghana na Zimbabwe, sisi tumekwama wapi???,it never ending kila siku nyuzi za ualimu humu kukosa ajira why?
 
Back
Top Bottom